Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Yamenikuta! Naambiwa fimbo yangu iko mbali nikubali yaishe! Matatizo ya maisha yametufanya mimi na mke wangu tukubali ushauri wa rafiki yangu wa kumruhusu mke wangu akatafute kibaruwa umangani...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
.....................
0 Reactions
15 Replies
4K Views
habari wanajf, nina rafiki ambaye tunachukuliana kama ndugu,ila undugu unaharibika sehemu moja tu,na jamaa/boyfriends wake.Nimekuwa nikisumbuliwa na kila jamaa anaekuwa nae,na mara jamaa akianza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, nadhani tuwe na uzi utakaotusaidia materials kuhusu mapenzi, mahusiano and related matters! Knowledge is power. 1. Love to dare. Hiki ni kitabu cha kikristo kinachoonesha how married...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Tulikuwa tumetoka outing kwa ajili ya kupata winywaji na kubadilishana uzoefu, na katika mazungmzo yetu tulifikia mahali tukajikuta tukizungumzia masuala ya familia na hapo ndipo aliponijulisha...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Nita list ambazo ni zangu.. Na ww weka zako 1-Freedom 2-Losing in love 3-Fear of being controlled 4-Responsibility - the biggest scare
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wahusika wote, nataka na ninapenda mashuga mamy,yaani I don't feel to be with Girls coz ni Wazinguaji sana,halafu waongo katika Mapenzi na wezi wa mifukoni. Hivyo Sasa,nikiwa serious kama...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
niliachana na mchumba wangu miezi 3 iliyopita baada ya kumfumania akiwa na kishanshuda po mwingine. niliumia sana ukizingatia alikua keshantolea mahari na tulikua kwenye process za kufunga ndoa...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Wadau ninashukuru kwa michango yenu yote.....,kila aliyechangia nimemuelewa, Pili nasikitika sana sikuwa hewani kwa muda kutokana na masuala ya kikazi hivyo sijaweza kuwajibu kwa wakati...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
enyi wanaume wenye nyumba ndogo,nawashauri kuwa,mnapoamua kuzaa na hao nyumba ndogo zenu,jitahidini kwenda kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa la sivyo mnatunza watoto wa wenzenu! kama hamjui hizo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama uchovu na ukosefu wa usingizi ndivyo vinavyowafanya wanawake ambao wamejifungua karibuni kutoshiriki kwenye tendo, hapa kuna sababu nyingine ambayo pengine ni muhimu zaidi. Ni ipi hiyo...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
nahitaji msichana ambaye tutakuwa tuki share ideas and also become good friends my e-mail puravidaseranos@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Huyu m2 ni vip or ndo utoto unamsumbua ni demu wangu but sijawahi mshika hata mkono nikitaka kumkiss ananiambia hadi amalize form six daa au ni PCB inamchanganya embu naombeni msaada kuhusu uyu mtu!
0 Reactions
85 Replies
7K Views
Wanajamii hasa wanawake nataka kupata maoni yenu juu ya adhabu ambayo utampa mume0 ikiwa "kateleza" katembea na mdogo wako wa tumbo moja baba mbalimbali ukiwa mjamzito karibu na kujifungua!ukajua...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Wana JF siku zote wanaume ni wabunifu sana. Siku hizi wanaume wanaopenda kuchukua wale wanawake ambao wanakuwa na makubaliano ya wakishamaliza majamboozi wanawalipa, sasa kinachofanyika mwanaume...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Imeandikwa kwenye The Guardian on Sunday (1 Apr 2012) [siamini kama hii ilikuwa inahusiana na 'Fools Day prank] kwamba karibu asilimia 50% ya wanaokwenda kuangalia kama ni 'biological fathers'...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwalimu vs bankteller, yupi wife material? Hebu check ratiba za kila siku za mwalimu na bankteller. MWALIMU; Anaamka saa 12 asbuhi, anasafisha nyumba nakutengeza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Picha haihusiani na habari hii................ Hebu tuchukulie kwamba, uko kwenye mizunguko yako mahali fulani kwenye mji unamoishi. Mara unamwona mumeo au mkeo, au inawezekana ni mpenzi wako...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
READ BELOW BEFORE LISTENING The story is this: a girl was out with friends having drinks on King St (in Toronto ). This guy approaches her and won't leave her alone -saying how cute she is...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mwanamke mwenye sifa hizo mwenye kazi au asiye na kazi ajitokeze lakini hobi apende ngono kuliko kitu kingine na awe mwaminifu!aniambie yuko wapi,mie ninamhakikishia matunzo na mapenzi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…