zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,095
Mwalimu vs bankteller, yupi wife material?
Hebu check ratiba za kila siku za mwalimu na bankteller.
MWALIMU;
BANKTELLER:
i. Anaamka saa 10:30 alfajili, anajiswafi na kuwahidaladala coz anafanya kazi NBC ya posta.Anawahi foleni kutoka mbezi mwisho mpaka posta si mchezo. Hajapata mkopo wagari, si unajua mshahara wa bankteller tena. Breakfast atapata kazini.
ii. Akikaa pale dirishani, kutoa na kupokea pesa,mpaka saa 7 mchana ndo anageuza kale ka ubao( TEMPORARY CLOSED) ili akapatelunch. 20 minutes kesharudi kuendeleampaka saa 10:30 jioni.
iii. Saa 11:00 mpaka saa 1:00 usiku wanafungamahesabu ili waondoke.
iv. Kutoka hapo bank mpaka kituoni, kupanda garimpaka mbezi mwisho saa 3 usiku. Coz folenila jangwani, ubungo mataa mpaka mbezi ni noumer.
v. Anakuta watoto washalala, house girl ndoaliwashughulikia kila kitu. Na yeye ndo kachoka balaa.
vi. Mme wake anafika dakika 40 baadae, wanakula nakwenda kulala.
vii. Chakula cha usiku hajisikii kabisa coz kachoka,af ana stress amepata shoti ya sh 70,000.wakati anatoa na kupokea pesa.
Katika rabita hizo hapo juu, nanianafaa kuwa mke.??
Hebu check ratiba za kila siku za mwalimu na bankteller.
MWALIMU;
- Anaamka saa 12 asbuhi, anasafisha nyumba nakutengeza breakfast.
- Anawaandaa watoto kwenda shule , coz wanaendasaa 1:00 asbuhi
- Anapata breakfast, anajiswafi af anatoka homekwenda kazini saa 1:30 asbuhi, coz anaishi meter 500 kutoka shule anayofundisha hapombezi mwisho.
- . Anatoka kazini saa 8 mchana na kufika home saa8:20 coz anatembea tu mpaka home. (hatumii nauli)
- . Anafika home anakuta house girl keshapika lunch,anapata lunch na kupumzika kidogo akiwasubiri watoto warud kutoka shule. Bado wanasomaprimary (international) so hawasomi shule anayofundisha yeye.
- Wakifika watoto anawapa chakula af anachekimaendeleo yao ya shuleni. Kuwafundisha kidogo na kukagua madaftari.
- . Saa 12 jion anaingia jikoni kupika dinner,akisaidiana na house girl .
- Mme akirud saa 2 usiku (coz yeye anafanya kaziposta) anapokewa na kupewa coffee kidogo, kuandaliwa maji ya kuoga na baadaekupata dinner.
- Saa 3 watoto wanalala, yeye na mme wakewanaangalia tv kidogo sebuleni afwanahamia chumbani.
- Chakula cha usiku mme anapewa bila matatizo (yaaniushirikiano 100%)
BANKTELLER:
i. Anaamka saa 10:30 alfajili, anajiswafi na kuwahidaladala coz anafanya kazi NBC ya posta.Anawahi foleni kutoka mbezi mwisho mpaka posta si mchezo. Hajapata mkopo wagari, si unajua mshahara wa bankteller tena. Breakfast atapata kazini.
ii. Akikaa pale dirishani, kutoa na kupokea pesa,mpaka saa 7 mchana ndo anageuza kale ka ubao( TEMPORARY CLOSED) ili akapatelunch. 20 minutes kesharudi kuendeleampaka saa 10:30 jioni.
iii. Saa 11:00 mpaka saa 1:00 usiku wanafungamahesabu ili waondoke.
iv. Kutoka hapo bank mpaka kituoni, kupanda garimpaka mbezi mwisho saa 3 usiku. Coz folenila jangwani, ubungo mataa mpaka mbezi ni noumer.
v. Anakuta watoto washalala, house girl ndoaliwashughulikia kila kitu. Na yeye ndo kachoka balaa.
vi. Mme wake anafika dakika 40 baadae, wanakula nakwenda kulala.
vii. Chakula cha usiku hajisikii kabisa coz kachoka,af ana stress amepata shoti ya sh 70,000.wakati anatoa na kupokea pesa.
Katika rabita hizo hapo juu, nanianafaa kuwa mke.??