Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Imeandikwa kwenye The Guardian on Sunday (1 Apr 2012) [siamini kama hii ilikuwa inahusiana na 'Fools Day prank] kwamba karibu asilimia 50% ya wanaokwenda kuangalia kama ni 'biological fathers' wamekuta kuwa wanalea watoto sio wao; pia kati ya watu wanaopima virusi vya ukimwi, karibu asilimia 40% ya waathirika ni wana-ndoa.
Je, hii institution ina tatizo gani? Je, nani katika hii institution - mwanaume au mwanamke - ni chanzo cha haya matatizo mawili ambayo yanaletwa na kukosa uaminifu?
Je, hii institution ina tatizo gani? Je, nani katika hii institution - mwanaume au mwanamke - ni chanzo cha haya matatizo mawili ambayo yanaletwa na kukosa uaminifu?