Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
Kama uchovu na ukosefu wa usingizi ndivyo vinavyowafanya wanawake ambao wamejifungua karibuni kutoshiriki kwenye tendo, hapa kuna sababu nyingine ambayo pengine ni muhimu zaidi.
Ni ipi hiyo?
Sikiliza kwa makini.
Mji wa uzazi wa mwanmke ambaye amejifungua karibuni unakuwa na mishipa ya damu iliyotepeta na mipana. Kwa hiyo anaposhiriki tendo, misukosuko ya jambo hilo huifanya mishipa yake kujaa hewa, hivyo damu kuwa na aina ya povu.
Povu hili linaweza kusababisha damu ya mwanmke kuganda. Kuna ushahidi wa vifo ambavyo vimetokana na tatizo hili kwa wenzetu ambao huweka kumbukumbu za sababu ya vifo. Kwa mfano huko Uingereza wanawake 18 walipoteza maisha kati ya mwaka 1967 hadi 1994.
Kwa hiyo baada ya kujifungua inabidi mwanamke asahau kidogo jambo hili kwa sababu kama ni upendo utaendelea kuwepo tu na mume hawezi kutoka nje kwa sababu yeye (mwanamke) analea. Labda tu kama upendo haupo.
Ni ipi hiyo?
Sikiliza kwa makini.
Mji wa uzazi wa mwanmke ambaye amejifungua karibuni unakuwa na mishipa ya damu iliyotepeta na mipana. Kwa hiyo anaposhiriki tendo, misukosuko ya jambo hilo huifanya mishipa yake kujaa hewa, hivyo damu kuwa na aina ya povu.
Povu hili linaweza kusababisha damu ya mwanmke kuganda. Kuna ushahidi wa vifo ambavyo vimetokana na tatizo hili kwa wenzetu ambao huweka kumbukumbu za sababu ya vifo. Kwa mfano huko Uingereza wanawake 18 walipoteza maisha kati ya mwaka 1967 hadi 1994.
Kwa hiyo baada ya kujifungua inabidi mwanamke asahau kidogo jambo hili kwa sababu kama ni upendo utaendelea kuwepo tu na mume hawezi kutoka nje kwa sababu yeye (mwanamke) analea. Labda tu kama upendo haupo.