niliachana na mchumba wangu miezi 3 iliyopita baada ya kumfumania akiwa na kishanshuda po mwingine. niliumia sana ukizingatia alikua keshantolea mahari na tulikua kwenye process za kufunga ndoa mwezi wa 9 mwaka huu. nilipomuuliza kwa nn amenisaliti akanijibu ye haelewi ila kimsingi amefall sana kwa yule bi shot dats y mi nikaamua kutong'ang'ania coz kweli niliona mwenzangu anapendwa hata zaidi yangu. ckuwaambia home kama tumeachana, ndugu marafiki nao kucha hawaachi kunitania 'bi harusi' ila langu moyoni siwezi sema. nyumbani kwao mchumba wangu wanafahamu hali hiyo na wakamkalisha vikao lakin hakuonekana kulegeza msimamo. basi ma mkwe akaniambia 'mwachie Mungu mwanangu'. sasa tatizo limekuja pale ambapo pacha wake na yule mtu wangu (wanafanana kila kitu) eti anataka kuwa na mimi. na anasema kama mwenzie haniitaji ye ananipenda na haina haja ya kucancel ndoa coz ye ndo atanioa na haina haja wa kuwaambia home kama nimebadilisha coz hawawezi kuwatofautisha. help me plz shem yupo serious kuhusi hili na mimi niko njia panda nifanyejee??????????????? niwe na shem nifiche aibu au niwaambie ndugu zangu kilichonikuta?