Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
tulianza safari kama mida ya kumi na mbili na ushee kwenda hapo mji kasoro bahari ndani ya bm couch, walengwa walikuwa wamekaa adjacent siti ya mbele, kama kawaida niko na kamchina kangu jamii forum naperuzi. Vimbwenga vikaanza tulipofika kibaha, jamaa akaanza shikana shikana na huyo demu, hadi mlandizi washalana mate, haikuishia hapo, waliendellea na kamchezo kao huku wakipumzika mara kwa mara, ilifikia stage jamaa akaamuwa hadi kunawa mkono, hapa ndipo hadi sauti za miguno ya huyo mdada zilitoka, na cha ajabu ilichukua minutes kama tano jamaa kakomaa tu.
Abiria wote ni kimyaa kumskilizia mdada akilalama. Huku tulio karibu tukiangalia kinachoendelea, ni kama muvii hivi.
in my mind nlichokuwa nataka ni gari ifike nishuke tu sababu hali ile haikuwa nzuri kabisa, nliyekaa naye nahisi hakuwa na hali as aliishia kubana miguu tu.
Abiria wote ni kimyaa kumskilizia mdada akilalama. Huku tulio karibu tukiangalia kinachoendelea, ni kama muvii hivi.
in my mind nlichokuwa nataka ni gari ifike nishuke tu sababu hali ile haikuwa nzuri kabisa, nliyekaa naye nahisi hakuwa na hali as aliishia kubana miguu tu.