Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Em tupe experience mkuu? Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza? Je ilikuwa ni Club? Kanisani? Mitandao ya kijamii? Kwenye usafiri? Na ilikuaje mpaka mkaanza
6 Reactions
26 Replies
584 Views
Unakuta kijana anaingia kwenye penzi jipya na amenuia kumuoa huyo binti,lakini baada ya muda kijana anakwambia yule binti bhana nimemfatilia ni binti fulani hivi anapenda wanaume, naachana...
5 Reactions
21 Replies
455 Views
naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie. Huyu ndugu siku yake...
20 Reactions
752 Replies
177K Views
Wakuu,utapeli umetamalaki sana mjini. Demu alikosea namba,mimi nikaunga nae kumtongoza, akakubali ikabidi nimpime kwa takribani 4 months. Sasa nikaona nimtumie nauli kwa ajili ya show 35k. Si...
6 Reactions
28 Replies
327 Views
Wana Jf mambo vipi ndugu mko poa nyie mi Niko poa kabisa labda nyie vipi kwenu Ebwana Leo ni siku yangu ya kuzaliwa nimepata ujumbe toka kwenye mitandao yangu aisee wananijali sana wamenikumbuka😭...
4 Reactions
17 Replies
543 Views
Leo nimeona nishare hii story yangu. Ilikuwa hivi, nilivyomaliza chuo nilibaki Dar nikipambana na life. Ndani ya muda kidogo nikapata job bana, mshahara si haba. You can imagine umetoka chuo kwa...
217 Reactions
206 Replies
17K Views
Asee wakuu, Januari imeninyoosha kinyama. Wueeeh!!! Fanyeni wepesi!!! Hivi ni maeneo gani ntaweza pata mshangazi wa kizungu!?? Nimfanyie kilimo cha umwagiliaji haraka upesi. Au niingie mtandao...
14 Reactions
91 Replies
1K Views
35-55 ni kipindi cha kutisha kwa wanaume wengi Unagundua: Marafiki wako wa karibu wanakuwa wako busy na familia zao Marafiki zako wengine wameshakata tamaa na maisha hawaoni kutoboa life tena...
40 Reactions
113 Replies
3K Views
Wakubwa kwema, Tafadhali naomba ushauri mimi ni kijana wa miaka 32 sijao ila nina mchumba ambaye tuna mpango wa kuoana mwaka huu na maali nimeishapeleka kwao. Ni mwanamke ninayempenda ambaye...
5 Reactions
37 Replies
541 Views
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge. Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at...
29 Reactions
243 Replies
11K Views
Kuna mtu ameniangaliaa akaamua kusema " We ni mzuri ila usiringe", nikamwambia naringaje wakati niko single, bas hajaamini kabisa. Yani kutokana na muonekano wangu, ni ngumu sana kueleweka kua...
10 Reactions
107 Replies
1K Views
Mwanamke amekuwa kiumbe cha ajabu hasa hawa wa kipindi hiki. Ndugu zangu mnisaidie, sasa nadhani inakuwa ngumu sana kumridhisha. Mke anataka mitazamo yake tuu (yaani uwaze vile anawaza na uwe na...
9 Reactions
43 Replies
800 Views
DALILI ZA KUJIJUA KAMA UNA JINI MAHABA. 1. Kuota unafanya MAPENZI na MTU unayomjua au usiyemjua kwa sura tofauti. 2. Kuota unafanya mapenzi na mnyama. 3. Kuota unanyonyesha au kujifungua mtoto...
2 Reactions
6 Replies
225 Views
Upi mtazamo wako kati ya mwanaume na mwanamke nani ana akili zaidi Kwangu Mimi naona kama wenzetu Kuna sehem wametupiga gape kwa sababu zifuatazo 1)Mwanamke akipata Hela anawaza namna ya...
6 Reactions
22 Replies
773 Views
Jamani habarini wana jf kuna kitu kinanitatiza kidogo kwa huyu mwanamke hivyo nahitaji uzoefu kwa wanawake na wanaume walio oa na kuishi na wanawake wenye mimba. Ni kwamba mm nina mke tumeishi...
6 Reactions
49 Replies
702 Views
ITULIZE PESA KWAKO! IFANYE PESA IKAE KWAKO! Kama pesa kwako unaipata kwa tabu sana, kama pesa inaingia na kutoka bila kukaa, kama pesa haikai kabisa… Kama unawaazima waatu pesa hawarudishi...
4 Reactions
18 Replies
320 Views
Huku Mbeya tuna family friend ambaye ni kama ndugu, huyu mzee namfahamu kama bamkubwa toka 2008, huyu mzee watoto wake wote wamepiga shule za nje ya nchi na waliosoma hapa bas ni shule nzuri ni...
16 Reactions
80 Replies
3K Views
Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa na mashaka mengi wala kuwa na mambo kadha wa kadha ya kuwanyima furaha baada ya kufunga ndoa, imewalazimu kufikiria vyema na kwa moyo wote juu ya...
35 Reactions
645 Replies
255K Views
Kundi la wafanyabiashara hii kongwe zaidi nchini na duniani ni kubwa mno. Watu hawa wako kila Kijiji/mtaa, kata , wilaya na mkoa. Kama tukiwasajili na wakalipa kodi, kitakuwa chanzo kikubwa sana...
3 Reactions
5 Replies
193 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…