Nimechelewa kuamka mgongo unauma sana Mbaga Jr ninafuata ushauri wako ni kuwala tu 😀
Baada ya mechi ya ureno nikawa na mademu tumezoena sikutumia hata mia Jana wao ndo walinunua, wakanipa na...
Watu wengi huamini kuwa kutongoza ni kitu cha kuzaliwa nacho — kwamba lazima uwe handsome sana, uwe na pesa nyingi, au ujue mistari migumu ya mapenzi. Lakini ukweli ni kwamba confidence...
Inanitafakarisha sana hii
Yaani huwa najiuliza maswali mengi sana nikiona mwanamke wa hivyo miaka 40, 45, 47, 49, 50 huna mume na hujawahi hata kuolewa hata mara moja yaani hata mara moja kwenye...
Salaam wakuu, mimi ni mwenzenu ila account yangu sijui imefanyaje na ile email walihack ila nimefungua account mpya.
Sasa ndugu zangu mimi nina 38 sasahv na ndio naingia kwenye ndoa, huyu binti...
Toka zamani nilikuwa najua wanyama wote hufanya tendo la ndoa kwa ajili ya kuzaliana tu. Kumbe si kweli.
Tafiti zinaonyesha kuna baadhi ya wanyama kama dolphins na sokwe ambao pia hufanya tendo...
Msisimko wa kingono husababisha kutolewa kwa homoni kama vile dopamine na oxytocin.
Mara tu baada ya kilele, viwango hivyo hupungua, na ile sehemu ya ubongo inayohusika na mantiki (logic) na...
Habari zenu wakuu..
Duniani hapa kuna mambo ya kustaajabisha sana. Huenda labda kwakuwa kila mmoja na hulka yake ndio maana mambo ya kustaajabisha yanazidi kutokea kila uchwao.
Nina huyo wife...
Hbari
Sio mishangazi, , Kuna Ile unakuwa na mahusiano na mwanamke wa makamo Yako then ikatokea ukamuazima pesa alishawahi kukupa laki na kuendelea je hakukudai hiyo pesa au ajakusimanga Kwa...
Zama za kusubirishana Gizani kusubiri reply zimepitwa na wakati! Sasa we Endelea kutongoza unadhani utafanikiwa bila Pesa !
Kwa sasa kupata mwanamke
1. Kuwa na Pesa
2. Cheo
3. Kipaji
4. Muongo...
Yaan zama hizi si za kupenda mtu! Nipe nikupe baasi,
Hakuna ku attach hisia zako kwa mtu, katika kazi unazofanya hakikisha kipato chako unakigawa hivi
Let say unapata 20,000$ monthly
Kwanza...
Kuna demu hapa mtaani black ana sura ya kawaida sana ila ukimtongoza anaweza kukupiga hata kofi anakwambia hataki mambo ya kijinga wahuni wote mtaani wamegonga mwamba tusema hawana mpango nae hata...
Habari zenu baada ya kuruka ruka sana hapa na pale nimeamua nioe, hivyo nilipopata karikizo kadogo nikawa nimeshapanga na mdada rafiki yangu wa karibu wa zamani kwamba namuoa. Akakubali,
Tatizo...
Nipo kisiwa cha unguja Bado sijapata direction, ni sehemu gani hapa naweza nunua potassium, please isiwe shamba, naombeni maelekezo hususani hapa mjini magharibi
Mwaka ule ule napata connection ya kisanga cha Mnyarwanda kabla ya hapo nawaleta kati
Katika Uzi uliopita niliiongelea Vietbam nikasema itakuwa story ya siku ngingine
Kifupi Vietnam nimeenda...
Katika maisha kila mtu kuna kitu ambacho ajawai kukifanya kabisa kwaiyo uwa anatamani sana kukifanya icho kitu kwa upande wangu mimi na umri nilionao nilikua tayari nimewai kufanya mambo mengi...