Em tupe experience mkuu?
Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza?
Je ilikuwa ni Club?
Kanisani?
Mitandao ya kijamii?
Kwenye usafiri?
Na ilikuaje mpaka mkaanza
Unakuta kijana anaingia kwenye penzi jipya na amenuia kumuoa huyo binti,lakini baada ya muda kijana anakwambia yule binti bhana nimemfatilia ni binti fulani hivi anapenda wanaume, naachana...
naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie.
Huyu ndugu siku yake...
Wakuu,utapeli umetamalaki sana mjini. Demu alikosea namba,mimi nikaunga nae kumtongoza, akakubali ikabidi nimpime kwa takribani 4 months. Sasa nikaona nimtumie nauli kwa ajili ya show 35k.
Si...
Wana Jf mambo vipi ndugu mko poa nyie mi Niko poa kabisa labda nyie vipi kwenu Ebwana Leo ni siku yangu ya kuzaliwa nimepata ujumbe toka kwenye mitandao yangu aisee wananijali sana wamenikumbuka😭...
Leo nimeona nishare hii story yangu.
Ilikuwa hivi, nilivyomaliza chuo nilibaki Dar nikipambana na life. Ndani ya muda kidogo nikapata job bana, mshahara si haba. You can imagine umetoka chuo kwa...
Asee wakuu, Januari imeninyoosha kinyama. Wueeeh!!!
Fanyeni wepesi!!! Hivi ni maeneo gani ntaweza pata mshangazi wa kizungu!?? Nimfanyie kilimo cha umwagiliaji haraka upesi.
Au niingie mtandao...
35-55 ni kipindi cha kutisha kwa wanaume wengi
Unagundua:
Marafiki wako wa karibu wanakuwa wako busy na familia zao
Marafiki zako wengine wameshakata tamaa na maisha hawaoni kutoboa life tena...
Wakubwa kwema, Tafadhali naomba ushauri mimi ni kijana wa miaka 32 sijao ila nina mchumba ambaye tuna mpango wa kuoana mwaka huu na maali nimeishapeleka kwao.
Ni mwanamke ninayempenda ambaye...
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.
Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at...
Kuna mtu ameniangaliaa akaamua kusema " We ni mzuri ila usiringe", nikamwambia naringaje wakati niko single, bas hajaamini kabisa.
Yani kutokana na muonekano wangu, ni ngumu sana kueleweka kua...
Mwanamke amekuwa kiumbe cha ajabu hasa hawa wa kipindi hiki.
Ndugu zangu mnisaidie, sasa nadhani inakuwa ngumu sana kumridhisha. Mke anataka mitazamo yake tuu (yaani uwaze vile anawaza na uwe na...
DALILI ZA KUJIJUA KAMA UNA JINI MAHABA.
1. Kuota unafanya MAPENZI na MTU unayomjua au usiyemjua kwa sura tofauti.
2. Kuota unafanya mapenzi na mnyama.
3. Kuota unanyonyesha au kujifungua mtoto...
Upi mtazamo wako kati ya mwanaume na mwanamke nani ana akili zaidi
Kwangu Mimi naona kama wenzetu Kuna sehem wametupiga gape kwa sababu zifuatazo
1)Mwanamke akipata Hela anawaza namna ya...
Jamani habarini wana jf kuna kitu kinanitatiza kidogo kwa huyu mwanamke hivyo nahitaji uzoefu kwa wanawake na wanaume walio oa na kuishi na wanawake wenye mimba.
Ni kwamba mm nina mke tumeishi...
ITULIZE PESA KWAKO!
IFANYE PESA IKAE KWAKO!
Kama pesa kwako unaipata kwa tabu sana,
kama pesa inaingia na kutoka bila kukaa,
kama pesa haikai kabisa…
Kama unawaazima waatu pesa hawarudishi...
Huku Mbeya tuna family friend ambaye ni kama ndugu, huyu mzee namfahamu kama bamkubwa toka 2008, huyu mzee watoto wake wote wamepiga shule za nje ya nchi na waliosoma hapa bas ni shule nzuri ni...
Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa na mashaka mengi wala kuwa na mambo kadha wa kadha ya kuwanyima furaha baada ya kufunga ndoa, imewalazimu kufikiria vyema na kwa moyo wote juu ya...
Kundi la wafanyabiashara hii kongwe zaidi nchini na duniani ni kubwa mno. Watu hawa wako kila Kijiji/mtaa, kata , wilaya na mkoa. Kama tukiwasajili na wakalipa kodi, kitakuwa chanzo kikubwa sana...