Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

  • Redirect
Habari wana jf, kwakua binadamu tumetumwa kuijaza dunia, sasa watu naona wanaongeza usiriazi kwa matokeo ya watoto wa nje ya ndoa. Na hata wanawake ambao inakua bado wanasoma wanapata mimba na...
1 Reactions
Replies
Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka kadhaa, baada ya kutafta maisha kwa muda mrefu Tanzania yakagoma nikaamua kujikusanya nikauza kieneo nikasafiri kuja zangu nchini Singapore, nikafika huku...
14 Reactions
214 Replies
37K Views
Babu yangu alinisihi kwamba mwanamke ana masikio matatu, mawili juu moja chini, wakati huo mwanaume ana macho matatu na vichwa viwili,.kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi, na macho...
2 Reactions
55 Replies
9K Views
Nashangaa hivi UKIMWI upo kweli au ni story tu? Mimi kwa kuuza Mechi ni hatari, nimeuza zaid ya mechi 30 za ugenini na nyumbani, za angani na kitandani, Nikaamua tu nipime Nimejikuta safiiiii...
0 Reactions
112 Replies
21K Views
Wakuu mliooa hudumieni Hawa wake zenu.Huku nje wanaomba omba mno pesa
15 Reactions
85 Replies
2K Views
Anaandika Sudi Mgolozi Wengi mnauliza kama mwanamke anaweza kumtamani mwanaume akamwambia, Ndiyo inawezekana ila wapo wasichana wachache wenye kufanya hivyo. Mimi ilishawahi kunitokea zamani...
3 Reactions
35 Replies
10K Views
Alikuwa girlfriend wangu, yeye anapenda sex hadi karaha. Mnafanya round 3 mpaka 5, bado usiku anakuamsha mliendeleze. Nilikuwa napata raha mwanzoni ila kadri siku zilivyoenda akawa anataka...
11 Reactions
77 Replies
16K Views
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge , Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa...
6 Reactions
152 Replies
19K Views
Hiki kitu kimetokea katika mazingira yangu mana kuna mdada X anamwanaume wake ambae anampenda sana ila tofauti yao ni dini tu. ILA huyu dada X hivi sasa anampango wa kuachana na huyo mwanaume ety...
3 Reactions
23 Replies
275 Views
Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine...
40 Reactions
958 Replies
25K Views
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki? maana sio...
7 Reactions
15 Replies
179 Views
Unakuta uko na Dem wako halafu kumbe haujazijua code.. unakuta mwanamke mkigombana kidogo anakwambia Jaribu unipige uone... Kumbe mwanamke huyo ni zile type zile za "chock me daddy" mara "spit...
2 Reactions
15 Replies
400 Views
Takriban miaka 20 baada ya kifo chake, mwili wa mwanamuziki wa Uganda, Paul Job Kafeero, ulifukuliwa kutoka kaburini ili kufanyiwa vipimo vya DNA kubaini ni watoto gani kati ya 25 waliodaiwa kuwa...
5 Reactions
9 Replies
205 Views
Hivi kati ya baba yako na mama yako unampenda nani zaidi na kwanini umpende zaidi?
7 Reactions
47 Replies
576 Views
Haiwezekani gari aliunde mwingine halafu wewe ujifanye unajua kuliendesha bila kumuuliza muundaji linaendeshwaje. Nachelewa kusema utasababisha maafa tu. Si ajabu kuona wimbi la 'vita' Kati ya...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Miss Natafuta mwenyewe alikuwa mwembamba mrefu, mweusi tiii, kiuno chembamba, tacle amazing. Tulikutana kwenye mkutano fulani akanipa kimasiara. Baada ya game nikagundua anaitwa Miss Natafuta...
3 Reactions
4 Replies
92 Views
Kanieleza kuwa ananitaka na kanieleza kuwa nikimkataa atanishtaki kwa boss kuwa namtongoza. sijui nifanyaje sijui niache kazi ama liwe liwalo. Mke wa...
3 Reactions
17 Replies
274 Views
Fresh wakuu? Mficha maradhi kifo humuumbua. Nina mpenzi wangu,ni mwanamke wa kichaga,ni mrembo tu na ana akili ya maisha ,lakini changamoto yake ni tungi huyu mtu anapenda bia (castle lite)...
11 Reactions
100 Replies
2K Views
Kuna watu wanajitoa kwa asilimia 100, wanatoa muda, upendo, na juhudi zote wakiamini siku moja watathaminiwa. Lakini ukweli ni kwamba si kila anayepokea juhudi zako anazithamini. Mahusiano mazuri...
15 Reactions
147 Replies
1K Views
Wakuu kwema ! Nisiwachoshe sana naenda moja kwa moja Nini kinatokea katika ubadilishanaji wa nguvu kwa mwanamke mchanga na mwanaume mzee vivyo hivyo mwanaume mchanga na mwanamke mzee Kisha...
1 Reactions
25 Replies
299 Views
Back
Top Bottom