Ona tofauti kubwa kati ya kuwa na mke au kuwa na girlfreind
1. Mke anamsaidia mume wake kumanage his finances properly. Girlfriend anamsaidia boyfriend wake ku spend pesa zake
2. Mke ni...
Siku hizi mapenzi ni pesa, utajiri, ana gari gani, ana nyumba ama kapanga, na kama huna vitu hivyo utaitwa mwanaume suruali. Na kwa vile wigo wa kujua nani kafanya nini na wapi umepanuka sana...
Hbr zenu wana JF.
Nimeombwa ushauri na ndugu wa karibu sana. Baada ya kumwona mumewe hajatulia mkeakachachamaa waende kupima ndo mambo mengine yaendelee yaani ilikuwa hapaliki wala kukalika, ndipo...
Asilimia kubwa ya wanaume walio chini ya miaka 35 wakiingia lodge na condom wanatoka nazo kama zilivyo...hali hii imefanya baadhi ya lodge brazil kuweka alarm ya kuwakumbusha wazinzi kila...
Mimi na mpenzi wote ni wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na...
Kila shetani na mbuyu wake jamani, kuna watu wanaosema huwa wanavutiwa sana (hanjamu) wakiona tu michirizi hasa ile ya kushuka kiunoni, na ndio maana wanaume wengi huwa bize sana wakiona mdada...
Nimekutana na rafiki yangu ambaye ni MWANANDOA wa miezi michache akaniomba USHAURI juu ya tatizo lake la kuwahi kupiga bao mapema sana wakati wa tendo la ndoa na kumfanya mwenzake ashindwe kuelewa...
A Chinese woman has been arrested after forcing her boyfriend to kneel in the street and repeatedly slapping him around the face.
The man was accused of cheating on the woman after bringing...
Umesahau birth day yangu???? as mwenza ulikuwa ukimpelekea keki/maua/zawadi kabla ya kutengana
Hata kunipigia na kunisalimu kwani mekukosea nini? ina maana lengo lako lilikuwa kugegedana tu...
^^
Hili kundi la BADO NIPÖNIPO KWANZA nimekuwa nikiwatazama namna wanavyofurahia maisha yao ya mapenzi,,mapenzi ambayo yakikutana na kibao kinachoitwa NDOA basi gari linapiga rivasi na kurudi...
:flypig:wazazi japo hawajaweka wazi sababu ila tokea mwanzo niliwahi kuskia wakisema kusini kuna imani za kishirikina bt ninavyojua mm hata kaskazini cku hizi wachawi wapo na kwamba nikiolewa huko...
Hoteli, Lodge na Nyumba za kulala wageni ni nyumba ambazo zimejengwa kwa ajili ya kupokea wageni mbali mbali wanaotoka sehemu za mbali za maeneo hayo wakija kwa shughuli mbali mbali kikazi...
Habari wana Jamvi.
Nina rafiki wa karibu hapa, Yeye ni dereva taxi wamependana kwelikweli na mdada flani hivi tangia binti huyo anasoma.
Walikubaliana akishamaliza tu waoane ila sasa mdada kwa...
Hapa nazungumzia kumsaidia mpenzi wako wa kike aliye chuoni fedha za matumizi. Je, ni sahihi? Na kama usipomsaidia akapata shida upendo wako kwake utakuwa na maana yoyote? Wadau ushauri tafadhali
PIPOOOOOOOOOOZ!!! PAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!
Jamaa wenyewe wana ushirikiano utadhani Xavi Hernandez na Andres Iniesta kwa kule spain, au kwa Bongo ni kama Nyoshi El Sadaat na Pablo masai...
Habari wakuuu... Natumai mu wazima wa afya kabisa... Na kwa wale wagonjwa mungu awapenafuu pia..
Back kwa mada hapo juu...
Ijapo kua msemo "mke mwema anatoka kwa mungu" na imani juu ya ndoa...
Habari wakuu!
Nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja miezi 6 iliyo pita.
Tumependana,na tunajaliana kwa hali zote.
Shida inakuja pale tu ninapo muomba game,
analeta lame excuses...
smile ni kitu cha msingi sana katika mapenzi,mtu siku nzima umenuna,haucheki,wewe ni serious muda wote kama mjeda kazini,charming inamwondolea mwenzio stress,inampa hope,inampa courage,KWA NINI...
Moyo wangu umejaa jamani, natka maneno mazur mazuri tu ya kunifariji. Mwenye kipaji cha kufariji naomba faraja wapendwa. Ndoa hizi tunazitamani ila tukishaingia mambo yanakua mseto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.