Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
Habari wakuuu... Natumai mu wazima wa afya kabisa... Na kwa wale wagonjwa mungu awapenafuu pia..
Back kwa mada hapo juu...
Ijapo kua msemo "mke mwema anatoka kwa mungu" na imani juu ya ndoa ulikuapo tangiapo,baada ya boni mwaitege kuimba kale kawimbo kake ndo kazidisha kabisa kuwapa fake hope vijana wasio oa/olewa...
Sina imani kabisa na huu msemo "mke mwema anatoka kwa mungu" hauna mantiki yeyote.... Iweje uyo mke atoke kwake.?na kwanini atoke kwake wakati wanawake na wanaume tuko hapa duniani.? Au yeye ndio anatuchagulia huyo mke.?
Tukirudi ktk maandiko hakuna hata mahali pameandikwa kua mke/mume bora anatoka kwa mungu labda mimi silijui hilo andiko nisaidieni.?
Na kama uyo mke mwema anatoka kwake na maandiko yaka sadiki,kwanini ktk maandiko hayo hayo kuna neno taraka.?
Nacho amini nikua mke mwema,mume mwema/bora nilazima umuandae wewe ktk hatua za awali za uhusiano wenu..
Wakuu embu tusaidiane bna mana mi namaswali mengi juu ya imani izi za wazungu na waarabu..
Back kwa mada hapo juu...
Ijapo kua msemo "mke mwema anatoka kwa mungu" na imani juu ya ndoa ulikuapo tangiapo,baada ya boni mwaitege kuimba kale kawimbo kake ndo kazidisha kabisa kuwapa fake hope vijana wasio oa/olewa...
Sina imani kabisa na huu msemo "mke mwema anatoka kwa mungu" hauna mantiki yeyote.... Iweje uyo mke atoke kwake.?na kwanini atoke kwake wakati wanawake na wanaume tuko hapa duniani.? Au yeye ndio anatuchagulia huyo mke.?
Tukirudi ktk maandiko hakuna hata mahali pameandikwa kua mke/mume bora anatoka kwa mungu labda mimi silijui hilo andiko nisaidieni.?
Na kama uyo mke mwema anatoka kwake na maandiko yaka sadiki,kwanini ktk maandiko hayo hayo kuna neno taraka.?
Nacho amini nikua mke mwema,mume mwema/bora nilazima umuandae wewe ktk hatua za awali za uhusiano wenu..
Wakuu embu tusaidiane bna mana mi namaswali mengi juu ya imani izi za wazungu na waarabu..