Hivi jamani mapenzi yanawezaje kufanya mtu awe mjinga. Demu mrembo na haiba yake, kaona mwanaume mwenye familia na hajifichi, kisha kakaamua huyo ndio wa kutarget na kung'ang'ania.
Hapo imefikia...
Nawashagaa sana watu waliooa au ambao wana wapenzi hasa wanaume, kila siku kuleta kesi za kulialia hapa. Yaani jukwaa limekuwa mhanga wa kupokea vilio vya wanaume! Bora hata ingekuwa wanawake...
One Day An Angry Wife To Her Husband 0n Phone: Where the Hellare you ?
Husband: Darling do you remember the jewellery shop where you saw a very beautiful goldnecklace and were desperate to...
Ive been dating this guy for 3yrs now, he has been nice to me all this while introducing me to his family and all .The issue is that 3weeks ago I noticed I had an infection in my private parts...
Jamani nimepima DNA mimi na mtoto wangu bila kumshirikisha mke wangu...baada ya mwezi nilifuata matokea yalikuwa Positive lakini karatasi ya majibu iliandikwa majibu haya si sahihi kwa asilimia...
Rafiki zangu najua uwa inaumiza mtu anaweza kukuharibia future yako na kukufanyia kitu kibaya adi ukaweka chuki moyoni ambayo ukaona watu wote wako ivo nakumbuka kuna mtu ameniharibia maisha yangu...
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa...
ke mnapenda sana me wenye pesa nying huko ni kuhongwa sio kupendwa unapewa laki 2 za kwenda salon!mkioana bajet inakia kali mnaanza kulalamika siku hiz una m2 mwingne aendelee kukupa laki 2 za...
''If I could write you a song,
and make you fall in love,
I would already have you up under my arm''
Mike Posner
....................................................................
I'm...
naam kama kawaida kumeshakucha;wanadhuoni wanasema picha inaongea mara 1000 zaidi ya maneno.Hiyo ni baadhi tu ya scene za ndoa nyingi za siku hizi, myself i conclude kuoa ama kuolewa kusiwe lazima...
Mtaalamu mmoja anayefanya research juu ya uhusiano uliopo kati ya maumbile ya wanawake na mahusiano yao ya kimapenzi, amedai kwamba, wanawake wenye makalio mazuri na nyonyo nzuri ndio wanaoongoza...
Wadau MMU, Naomba kuuliza kwa wale walio deep.. Nimekuwa nikishi hotelini kwa muda mrefu sasa,katika jiji la Arusha.Nimeshuhudia watu wengi wakiingia mke na mme na kukodi chumba kwa muda mfupi...
Kauli zinazokufanya UmButue Mke/Mpenzi wako
Je ni kauli gani inayoweza kukufanya wewe kama mwanaume ambaye mstarabu umpige mpenzi/mke wako. You gotta know that this doesn't relate to me at all...
Hivi ni kutojiamini wakati wa kugegedana ama ni kutafuta kumfahamu mwenzio zaidi..
...au kuna vijiutundu unavijua ila unasita kuvitekeleza....kuridhishana kimapenzi inabidi kufahamiana na...
Huwa nakaa na kujiuliza kwanini sku hii migogoro haiishi? Japokuwa naona watu walio wengi wanaume kwa wanawake wanajitahid kuwa wabunifu katka suala zma la mapenz lakin usaliti, migogoro na ndoa...
Habari zenu wana MMU
Kutokana na maisha tunayoishi na watoto wetu, inatakiwa kupunguza ukali kidogo kwao maana wanakuwa wakiishi kwa wasiwasi pale wafanyapo kosa, au kuharibu kitu ndani ya...
Egweeeeeeeeeeeeee usishangae nimependa leo kuwasalimia waungwana wote wa JF kwa staili hiyo. Back kwenye uzi wetu ninaopenda tuangalie na tujadiliane ndugu zangu ktk jukwaa hili leo. Ni hivi, Toka...
Mgonjwa mmoja ambaye ameathrika na gonjwa la ukimwi amekuwa akifanyiwa vitendo vya unyayasaji na mkewe kwa madai kuwa ndugu zake wamemtelekeza na kumwachia mzigo wa kumuuguza
Mndrea Mwiyombo...
eeeh bwana nipo maeneo ya boko kuna msichana mmoja ana boyfriend kimsingi ni mchumba wake na jamaa ana pesa ana masters ya eng. anakofanya kazi ni siri yangu huyu mwanamke kapangishiwa nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.