Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,641
- 698,037
Watu wasichanganye pepo la ngono na jini mahaba
Jini mahaba ni pendapenda japo hupenda mmoja kwa Wakati mmoja, ukiona mtu anakupenda bila sababu na anakuwa tayari kufanya chochote, namaanisha chochote hata kuhatarisha uhai wake, huyo ana jini mahaba, na akikuhitaji halafu akukose anaweza hata kuumwa au kuchanganyikiwa
Lakini pepo la ngono ni habari nyingine kabisa, mtu likimpata huyu utamwonea huruma, kama ni mwanamke atapewa majina yote mabaya, mama huruma, maharage ya mbeya, malaya, changudoa , nknk
Kama ni mwanaume ndio wale wale nao wana majina yao, hawaridhiki na mmoja wanatongoza kila watakayemtamani, bila kujali umri wala hali yake, hawa hufikia kutongoza mpaka ndugu wa damu au watoto wa kuzaa mwenyewe,
Kwahiyo kuna tofauti katika ya pepo la ngono na nini mahaba kama ilivyo hapo juu,,,,kama una maoni tofauti karibu
Jini mahaba ni pendapenda japo hupenda mmoja kwa Wakati mmoja, ukiona mtu anakupenda bila sababu na anakuwa tayari kufanya chochote, namaanisha chochote hata kuhatarisha uhai wake, huyo ana jini mahaba, na akikuhitaji halafu akukose anaweza hata kuumwa au kuchanganyikiwa
Lakini pepo la ngono ni habari nyingine kabisa, mtu likimpata huyu utamwonea huruma, kama ni mwanamke atapewa majina yote mabaya, mama huruma, maharage ya mbeya, malaya, changudoa , nknk
Kama ni mwanaume ndio wale wale nao wana majina yao, hawaridhiki na mmoja wanatongoza kila watakayemtamani, bila kujali umri wala hali yake, hawa hufikia kutongoza mpaka ndugu wa damu au watoto wa kuzaa mwenyewe,
Kwahiyo kuna tofauti katika ya pepo la ngono na nini mahaba kama ilivyo hapo juu,,,,kama una maoni tofauti karibu