SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Wanabodi Ijumaa Kareem
Natumaini sote tuko poa.
Kuna jambo nimekuwa nikiliona kwenye maofisi mengi ambamo nimepitia na nilipojaribu kuwauliza baadhi ya marafiki zangu wafanyao kwenye ofisi zingine nao kwa bahati mbaya wamekiri kuliona. Jambo lenyewe ni lile la baadhi ya staff wafanyao sehemu moja kuwa na mazoea ya kuitana 'mchumba', 'husband', 'wife'.n.k.
Inawezekana ni jambo la heri tu ..lakini kuna wakati inaletaga utata hasa mahusiano yanapoanza kuwa kama routine. Kiasi cha wengine hadi kuandamana sehemu za lunch pamoja na kuseviana kwenye simu kwa identities kama hizo hapo juu. Sababu za wengi wao kuitana hivi utasikia..'kafanana na mume wangu,'ana jina kama la mke wangu' au utasikia 'yupo kama boyfriend wangu' n.k . Hapa najiuliza tu kuwa ni sahihi kuendekeza hizi identities maofisini??..Make kama sikosei kuna kimsemo cha wahenga kwamba 'Maneno huumba'..Au iko poa tu wakubwa???
Natumaini sote tuko poa.
Kuna jambo nimekuwa nikiliona kwenye maofisi mengi ambamo nimepitia na nilipojaribu kuwauliza baadhi ya marafiki zangu wafanyao kwenye ofisi zingine nao kwa bahati mbaya wamekiri kuliona. Jambo lenyewe ni lile la baadhi ya staff wafanyao sehemu moja kuwa na mazoea ya kuitana 'mchumba', 'husband', 'wife'.n.k.
Inawezekana ni jambo la heri tu ..lakini kuna wakati inaletaga utata hasa mahusiano yanapoanza kuwa kama routine. Kiasi cha wengine hadi kuandamana sehemu za lunch pamoja na kuseviana kwenye simu kwa identities kama hizo hapo juu. Sababu za wengi wao kuitana hivi utasikia..'kafanana na mume wangu,'ana jina kama la mke wangu' au utasikia 'yupo kama boyfriend wangu' n.k . Hapa najiuliza tu kuwa ni sahihi kuendekeza hizi identities maofisini??..Make kama sikosei kuna kimsemo cha wahenga kwamba 'Maneno huumba'..Au iko poa tu wakubwa???