Niko sawa ama Nilikuwa Bwegee...!?

Niko sawa ama Nilikuwa Bwegee...!?

Joined
Jul 26, 2015
Posts
49
Reaction score
30
Nakiri kuna bint Nilimpenda na hta Yy alijua.

Alkw kimasom Nairob nami niko Tz.
Alipokuja Likizo tulidate,na Mwez mmj baada ya kuondoka alinitaarif ana ujauzito.

Sikubisha ila Miiez 3 baadae alijifungua.

Kwa kuwa nilimpenda toka Ujauzito had kujifungua Nilikw namuhudumia kila kitu.Na hata baada ya kujifungua had Mtoto anafikisha Mwaka mmj bado Nilikuwa nae.

Kuna Wakat tulipotezana kwa Miez kadhaa coz ya majukum ya kikaz.Niliookuja mtafuta nkaambiwa kaenda kuolewa na aliye mzalisha.Japo hakunambia lolote maana n huk huk Kenya.

Lakin miez 6 baadae aliachika kwa talaka akarud Tz na Mwanae.Alinifata na kunililia sana,Nami BADO nilikuw nampenda so Nikawa nae jus kumpa Company.


Baadae nilichukua Uamuz wa kumtafutia kazi ili tu atakacho kipata amsaidie Mwanae.Nashkuru Mola Nilifanikisha na baada ya hpo sikutaka tena Mazoea nae.

Sasa ana Ndoa Yake nami bado Bachala

Wakuu kwa hili nilikuwa sawa ama n Ubwege....
 
umefanya busara kumsaidia mpaka hapo ulipomfikisha, muache ajijenge sasa coz pia hakuwa mkweli....cku hizi ujauzito ni miez mitatu mtu ameshajifungua?
 
Usisahau Oktoba Kura Yako
Diwani
Mbunge
Rais

Wote Toka Ukawa Hapo Utapata
Mke Mzuri Maana Vijana Watakuwa Na Kazi Na Uwezo Wa Kuowa Na Kuolewa
 
umefanya busara kumsaidia mpaka hapo ulipomfikisha, muache ajijenge sasa coz pia hakuwa mkweli....cku hizi ujauzito ni miez mitatu mtu ameshajifungua?

Mkuu JWA n kwamba mwez mmj baada ya yy kuja likizo ndo alinambia,Ila ilipita miez mi3 baada ya taarifa akajifungua...so ni km nlitaka kushikishwa...Natumai umenisoma Mkuu
 
Ukute huna msaada kwa ndugu zako ila kujipa majukumu ya wanaume wenzio u can... We sio mzima
 
Yaliyopita si ndwele, ganga yajayo...
 
Back
Top Bottom