Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

Nina miaka 33 nimeoa miaka 7 iliyopita nimejaaliwa watoto 6, hali yangu ya kimaisha sio mabaya ninao uwezo wa kifedha. Turudi kwenye topic nimekuwa ni mtu mwenye mawazo kila wakati Nafsi yangu...
2 Reactions
99 Replies
10K Views
Itakuwa kama ndoto pale moyo wangu utakapozimika, kama mshumaa uliopulizwa kwa upepo. Utatamani niamke angalau usikie sauti yangu lakini utakuwa tayari umechelewa kilio, huzuni, simanzi na majonzi...
0 Reactions
55 Replies
16K Views
Wasaalam Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Nyimbo za mapenzi zinabeba dhima kubwa sana katika suala zima la mapenzi, nyimbo za mapenzi hutufanya tufurahi au kuhuzunika tukikumbuka mambo fulani ya wapenzj wetu kwakuwa wakati huo zikipigwa...
1 Reactions
174 Replies
14K Views
Binafsi siyaelewi kabisa mara nijihisi kama nipo peponi mara nijihisi kama nipo kuzimu. Kweli mapenz mchezo mchafu.
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Nimemaliza shahada ya kwanza mwaka jana pale UDSM na kupata kazi katika wizara fulani lakini nimetokea kumpenda msichana mmoja ambaye kiwango chake cha elimu ni darasa la saba na hii ni baada ya...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Kijana mmoja huko Tanga alimvizia babu yake akiwa amelala na kumlawiti babu kushtuka akakuta mjuu wake anampumulia kisogoni lahaula na kuanza kupiga mayowe. Taarifa za kitabibu zinasema babu...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
  • Closed
Naombeni Mnisaide Jaman kati ya ndugu au rafika yupi anayekuwazia mema? Ila tusisahau kuwa kuna msemo unasema damu ni nzito Kuliko maji
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF? Msaada wenu tafadhari. Nina mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa hatu ishi pamoja isipokuwa tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali likiwemo suala lamapenzi ambalo...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Wana MMU hodi jamaniiiiii Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu MMU na nimeona wanaume wengi tunalalamika akina dada wakitugeuza ATM mashine, nakumbuka kanuni moja ya kumpata mwanamke nimeikuta...
1 Reactions
74 Replies
8K Views
Habari zenu Wadau, Nampenzi wangu ambae ni mpangaji kwenye nyumba ya Mama yangu ingawa mimi siishi hapo, tuna miezi 3 mpaka sasa katika mahusiano yetu, Upande wa ndugu zangu naochangia mama wapo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Weekend hii kwangu ilikuewa mbaya sanaaaaa!!!! bibie aliishia kuniangalia kwa mbaliiiiiiiii.... Jumamosi nikajikoki kupata maraha ya msimu kama kawa, daah kibao kikabadilika pale ambapo chama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani mimi ni mgeni nikaribisheni tafadhali kupunguza maswali mimi me!
2 Reactions
60 Replies
4K Views
Kati ya mwanaume aliyemtoa mwanamke/binti bikira au aliyemp mimba na kumzalisha yupi mjanja??
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Kama mke wa mtu ni sumu,kwanini tusiwatumie kwa kuondoa panya majumbani kwetu!! Embu jaribu then uone
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Kwema? habari wakuu, prior to the thread title above, miaka ya zamani kidogo nilibahatika kuangalia muvi ya Demi Moore inayoitwa Indecent proposal. Jana tena, vile nikaidownload...
0 Reactions
93 Replies
5K Views
Kuna usemi unasema ukionja asali utachonga mzinga,toka nionje supu ya mkia ya binti mmoja yani sasa imekuwa ndyo tabia yngu niki-do na mwanake yyte lazima nile mkia.Natamani kuacha ila nashindwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeulizwa swali hili na mchumba wangu ambae kila kitu tayari ikiwa kupelekana kwa wazazi na mahari tayari. Iii imekaaje jmn! Nb. Tunabariki tu ndoa kanisani...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Nimezaliwa leo wakuu,karibuni sana kwa chakula cha jioni nyumbani kwangu.
0 Reactions
139 Replies
8K Views
zamani hazikuwepo hizi Za kufumaniana kufanyiana mambo machafu huku ukirekodiwa au kupigwa pichaZamnato zamani ukifumaniwa ujue umeshanasa, au mmegandamana au utaugua ghafla na kufa eneo la tukio...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom