Kwa kutumia akili yako, unafikiri kwamba ukiwa na rafiki wa kike unapata faida, faidi hizo ni zipi? au unafikiri ni hasara, hasara hizo ni zipi?
Hii mada nimeikuta Nairaland japo mimi nimeongeza...
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na
mrembo,usidhani utatetemesha kila
Mwanaume,kuna wanaume na akili
zao kichwani,urembo wako
hauwasumbui,kama bichwa lako ni
kanyaboya,uzuri wako hausaidii...
Ukirudi nyumbani unanuniwa pia unaitwa mlevi, kabla sijakuoa tulikua tunakesha msondo pamoja, iweje leo mnapenda kutuita sisi walevi, saa ingine tunakunywa hata bia mbili tu unakuta...
Ni sahihi kwa wanandoa kila mnaloongea kufikisha ukweni? yaani namaanisha mwanamke afikishe kwao na mume afikishe kwao, haijalisha hayo mtakayoyaongea mazuri, mabaya, yanawahusu hayawahusu...
Are you a nice guy who has always wondered why the cocky guy -- the one who barely appears interested in the girl -- is usually the one who gets the girl?
Have you suffered from hearing the...
Habari wana JF,
Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.
Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake...
Habari wana MMU. Leo nimekutana na kali ya kufungua mwaka. Kwa muda mrefu tu tumekuwa tukiwasiliana na kuchat kiasi cha kuzoeana na msichana fulani hivi lakini hatukuwahi kuonana. Sasa tukapanga...
Wapendwa katika MMU,
Nimepata taarifa kuwa Mwana-JF mwenzetu, dada Jawilat anaumwa na amelazwa hospitalini tokea jana ili aweze kupata huduma za matibabu kwa karibu zaidi.
Kwa sasa anaendelea...
Nina miaka 33 nimeoa miaka 7 iliyopita nimejaaliwa watoto 6, hali yangu ya kimaisha sio mabaya ninao uwezo wa kifedha.
Turudi kwenye topic nimekuwa ni mtu mwenye mawazo kila wakati Nafsi yangu...
Itakuwa kama ndoto pale moyo wangu utakapozimika, kama mshumaa uliopulizwa kwa upepo. Utatamani niamke angalau usikie sauti yangu lakini utakuwa tayari umechelewa kilio, huzuni, simanzi na majonzi...
Wasaalam
Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi...
Nyimbo za mapenzi zinabeba dhima kubwa sana katika suala zima la mapenzi, nyimbo za mapenzi hutufanya tufurahi au kuhuzunika tukikumbuka mambo fulani ya wapenzj wetu kwakuwa wakati huo zikipigwa...
Nimemaliza shahada ya kwanza mwaka jana pale UDSM na kupata kazi katika wizara fulani lakini nimetokea kumpenda msichana mmoja ambaye kiwango chake cha elimu ni darasa la saba na hii ni baada ya...
Kijana mmoja huko Tanga alimvizia babu yake akiwa amelala na kumlawiti babu kushtuka akakuta mjuu wake anampumulia kisogoni lahaula na kuanza kupiga mayowe.
Taarifa za kitabibu zinasema babu...
Habari wana JF?
Msaada wenu tafadhari.
Nina mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa hatu ishi pamoja isipokuwa tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali likiwemo suala lamapenzi ambalo...
Wana MMU hodi jamaniiiiii
Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu MMU na nimeona wanaume wengi tunalalamika akina dada wakitugeuza ATM mashine, nakumbuka kanuni moja ya kumpata mwanamke nimeikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.