Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210K
Threads
7.5K
Posts
210K

JF Prefixes:

Kwa kutumia akili yako, unafikiri kwamba ukiwa na rafiki wa kike unapata faida, faidi hizo ni zipi? au unafikiri ni hasara, hasara hizo ni zipi? Hii mada nimeikuta Nairaland japo mimi nimeongeza...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari za jioni wana MMU, mwaka ndo huo unazidi kuyoyoma, una malengo yapi mie malengo yangu ni kununua kiwanja, kuoa.
1 Reactions
99 Replies
6K Views
Habari wapendwa,natafuta mtu wa ushauri nasaha aliyebobea katika kushauri masuala ya ndoa,nina tatizo katika ndoa yangu nahitaji msaada.asanteni
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na mrembo,usidhani utatetemesha kila Mwanaume,kuna wanaume na akili zao kichwani,urembo wako hauwasumbui,kama bichwa lako ni kanyaboya,uzuri wako hausaidii...
6 Reactions
68 Replies
6K Views
Ukirudi nyumbani unanuniwa pia unaitwa mlevi, kabla sijakuoa tulikua tunakesha msondo pamoja, iweje leo mnapenda kutuita sisi walevi, saa ingine tunakunywa hata bia mbili tu unakuta...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni sahihi kwa wanandoa kila mnaloongea kufikisha ukweni? yaani namaanisha mwanamke afikishe kwao na mume afikishe kwao, haijalisha hayo mtakayoyaongea mazuri, mabaya, yanawahusu hayawahusu...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Are you a nice guy who has always wondered why the cocky guy -- the one who barely appears interested in the girl -- is usually the one who gets the girl? Have you suffered from hearing the...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa. Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake...
0 Reactions
127 Replies
11K Views
Habari wana MMU. Leo nimekutana na kali ya kufungua mwaka. Kwa muda mrefu tu tumekuwa tukiwasiliana na kuchat kiasi cha kuzoeana na msichana fulani hivi lakini hatukuwahi kuonana. Sasa tukapanga...
0 Reactions
194 Replies
18K Views
Wapendwa katika MMU, Nimepata taarifa kuwa Mwana-JF mwenzetu, dada Jawilat anaumwa na amelazwa hospitalini tokea jana ili aweze kupata huduma za matibabu kwa karibu zaidi. Kwa sasa anaendelea...
7 Reactions
128 Replies
7K Views
Nina miaka 33 nimeoa miaka 7 iliyopita nimejaaliwa watoto 6, hali yangu ya kimaisha sio mabaya ninao uwezo wa kifedha. Turudi kwenye topic nimekuwa ni mtu mwenye mawazo kila wakati Nafsi yangu...
2 Reactions
99 Replies
10K Views
Itakuwa kama ndoto pale moyo wangu utakapozimika, kama mshumaa uliopulizwa kwa upepo. Utatamani niamke angalau usikie sauti yangu lakini utakuwa tayari umechelewa kilio, huzuni, simanzi na majonzi...
0 Reactions
55 Replies
16K Views
Wasaalam Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Nyimbo za mapenzi zinabeba dhima kubwa sana katika suala zima la mapenzi, nyimbo za mapenzi hutufanya tufurahi au kuhuzunika tukikumbuka mambo fulani ya wapenzj wetu kwakuwa wakati huo zikipigwa...
1 Reactions
174 Replies
14K Views
Binafsi siyaelewi kabisa mara nijihisi kama nipo peponi mara nijihisi kama nipo kuzimu. Kweli mapenz mchezo mchafu.
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Nimemaliza shahada ya kwanza mwaka jana pale UDSM na kupata kazi katika wizara fulani lakini nimetokea kumpenda msichana mmoja ambaye kiwango chake cha elimu ni darasa la saba na hii ni baada ya...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Kijana mmoja huko Tanga alimvizia babu yake akiwa amelala na kumlawiti babu kushtuka akakuta mjuu wake anampumulia kisogoni lahaula na kuanza kupiga mayowe. Taarifa za kitabibu zinasema babu...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
  • Closed
Naombeni Mnisaide Jaman kati ya ndugu au rafika yupi anayekuwazia mema? Ila tusisahau kuwa kuna msemo unasema damu ni nzito Kuliko maji
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF? Msaada wenu tafadhari. Nina mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa hatu ishi pamoja isipokuwa tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali likiwemo suala lamapenzi ambalo...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Wana MMU hodi jamaniiiiii Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu MMU na nimeona wanaume wengi tunalalamika akina dada wakitugeuza ATM mashine, nakumbuka kanuni moja ya kumpata mwanamke nimeikuta...
1 Reactions
74 Replies
8K Views
Back
Top Bottom