Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

So sad!
0 Reactions
2 Replies
947 Views
Naombeni mawazo yenu, Ninamzazi mwenzangu tumezaa nae mtoto 1 mwanzo tulipanga kuoana ila mambo yakageuka ni story ndefu lakini kuna hili huwa tunaishi mikoa tofauti lakini ninamiezi 3 nipo...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Alikua mpenzi wangu akinipenda kwa dhati baada ya kupoteana kwa mda wa miaka 3 bila kuonana uso kwa uso alikua akinipgia simu tukiongea kama kawaida lakini siku moja aliwahi npigia simu na...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Nimekaa na baba yangu kwa miaka 19, lakini kumbe ni baba mlezi, hiyo imekuja baada ya baba ya halisi kujitokeza nikiwa form 'vi' nakunileza kila kitu kunihusu, ila tatizo mama hajaniambia chochote...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari Wana Jf mimi ni mama nina miaka 36 sasa niliolewa mwaka 2012 lkn baada ya miezi Mitatu mume wangu akifariki. Tokea hapo cna furaha endelevu nikicheka asbh jioni nitalia nikifurahi leo...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Mke
Nshhshhsbsh
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zeni wanajamii forum? Leo nimekumbuka tukio lililotokea miaka mitatu iliyopita. binafsi napenda kulielezea ili hata baadhi wajifunze kupitia kwangu wasije wakafanya makosa niliyofanya...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa hili, Love is all about feelings na watu wengi wamekua wakijifunza mengi kwa kusikiliza kazi za wasanii mbalimbali je wewe kijana wa JamiiForum umetafakari nini uliposikiliza...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Niko na mpangaji mwenzangu tangia tujuane yapata mwezi tena kwenye nyumba hiyo, ila cha kusikitisha anaishi na mwenzi wake kama vile hana mke ona hii mwanamke huyo mume wake anafagia nyumba yeye...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamaa yangu alikuwa anatembea na m/mke anayeishi na m/mme mwingine lakini hajamuoa bahati mbaya yule m/mke akapata ujauzito. Baada ya kujifungua mtoto anafanana na jamaa yangu kila kitu na hata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Za weekend wana MMU! Sina mengi zaidi ya kutaka kujua hivi mtu akikutumia meseji au hata tu kukupigia kukuambia kuwa mimi nawewe basi fanya yako nifanye yangu au wewe uwe huru tu masuala ya...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Someni hii picha jamani natamani vyote nifanyiwe mie
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hii mbinu nilikuwa naiona wanaitumia sana wazee siku za nyuma, sijui ni vitu gani walikuwa wanazingatia, Iliwahi kutokea mtoto wa binamu yangu wazee wakamkataa kata kata kuwa si wetu baada ya...
0 Reactions
116 Replies
42K Views
Habari Zenu??? Nawakumbusha tu kwamba uhusiano na urafiki mwema na uhusiano mwema unaonyesha sura ya Mungu na unampendeza Mungu. msikae kihasarahasara halafu mkadhani kwamba ndivyo Mungu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MREJESHO Samahani sana wana JF kwa kuwa kimya bila kuwajuza kilichojiri nilibanwa kidogo na mambo ya chuo,simnajua tena mwaka wa mwisho(4th yr)! Napenda niwashukuru wote kwa msaada wenu wa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Yaweza kuwa makosa, furaha au jambo lolote. Mimi kitu ambacho sitawahi sahau nlimtongoza msichana mwenye UKIMWI unajua nilizidiwa halafu nilikua maeneo ya usalama mimi nikamfata niikamwambia...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Mwisho wa kuwasilisha ujumbe wa Leo ,Isaya 4 :1,mjumbe hauwawi hate the game ,dont hate the player!!
0 Reactions
13 Replies
4K Views
I feel so lonely, I need someone who can engage in serious relationship.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, Natumaini mnaendelea vizuri na maisha yenu ya kila siku.Nimekuwa msomaji mzuri sana wa posts za watu humu ndani kwa muda mrefu sana na nisiposema nimefaidika nitakuwa muongo,nikaona na...
6 Reactions
115 Replies
16K Views
Wandugu wapendwa nilikuwa siamini kama mtu anaweza kupata mke JF, lakin Jana nimeamini baada ya rafki yangu kufunga ndoa na mdada waliokutana jukwaa hili la JF. Hii imenipa hamasa sana maana...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Back
Top Bottom