Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 6,157
- 6,299
binti mrembo ambae yupo dar tutoke wote badae club escape one kumwona mzee Wa amarula roberto tiketi nalipa,nitafute kam umo humu ndani
binti mrembo ambae yupo dar tutoke wote badae club escape one kumwona mzee Wa amarula roberto tiketi nalipa,nitafute kam umo humu ndani
kweli nimezeeka haya matukio yanapita wala sina habari...nilikuwa nasikia ekotitee kila mahali mara nasikia koffi olomide ndio kaja kuimba hio nyimbo wakati kashaondoka!
jaman twende mrembo mda unakaribia muwapi nyie au hamuendi?
vijana wa siku hizi mnanisghangaza! wewe utaendaje porini kuwinda na mbuzi??!! huko club kuna wanawake kibao sasa uende nae wa nini? mimi enzi zangu naingia huko mwenyewe niktoka.........................
Ingekuwa bakulutu ningekupa kampani ila hizo yoyo hapo vipi hapa imekaaje siziwezi.
sawa mkuu zikitokea izo zako unazopenda nitaomba kampani yako basi
Note; ni kucheza bakulutu tuu na si mengine, bill we can share au kila mtu na bill yake. Baada ya bakulutu kila mtu anaenda kwake.
Ufanye mazoezi ya kutosha ya kucheza bakulutu hakuna kupumzika ni kucheza kuanzia mziki wa kwanza hadi wanafunga vyombo.
That's Kasie.