TATIZO LA KUKAA NA KINYONGO
Mjadala huu
Ni kwamba unakosa nafasi ya kufuatilia mambo mengine muhimu kwako.Unaweza kujiaminisha kwamba kinyongo ulichomwekea mtu unastahili kabisa.
Alininyanyasa...
Nawasalimia wote kwa pamoja wana JF.
Mda mrefu tumekuwa na shughuli za uchaguzi, sasa uchaguzi umeisha kwa asilimia kubwa.
Ni mwendelezo wa mada zangu zinazohusu elimu ya kiroho.Kwa utangulizi...
Wanajamiiforum salam...
Naomba mniambie kama inawezekana kupenda tena baada ya kuumizwa na mpenzi wako wa siku nyingi. Mpenzi mliepitia nae raha na shida kwa miaka mitano.
Kuna watu wanasema...
Habari wanajamvi,
Nilikua na mahusiano na mdada mmoja kabila lake muha, nilikaa nae kwa kipindi kirefu sana katika uhusiano wetu.Tulikubaliana kuzaa, na kweli iliwezekana, nikampa uja uzito...
Bwana Yesu Asifiwe!
Watu engi hawana tabia ya kufanya mambo kwa bajeti na kujikuta matumizi yanakuwa hayana control.
sasa ebu kila mtu aliye kwenye mahsiano ya Bf na Gf, jaribu kutupa tathmini...
Hivi nyie ambao mko na wenzi wenu katika maisha, wakati mnatafutana baada ya wiki mbili tu mliorodheshewa matatizo ya kodi, mama mgonjwa, nguo ya sikukuu na mengineyo. Nauliza hivi natamani kujua...
Kuna tabia ya wanawake walio kwenye ndoa kuchukua baadhi ya maamuzi bila kuwashirikisha waume zao baadhi ya maamuzi haya ni kama kuita fundi kuja kutengeneza vitu nyumbani kama friji, tv, nk...
Nina mpenzi wangu, raia wa Nigeria, Sasa huyu msichana tulikutana chuoni pale mlimani, na tumedumu kwenye mahusiano, hadi Sasa tumeshahitimu na mahafali tulishafanya tar 25 November 2015...
Wakuu!
Kuna mwanamke wa Kizungu nimetengeza Distance relationship na yeye, tuna miezi 3 sasa na juzi tumepanga ku meet next year mwezi wa 5,na hiyo ni Mimi kwenda Europe, Matarajio yetu ni...
Napenda kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuweza kumwezesha mke wangu kujifungua salama leo Kyaka Nkunde referral hospital na kuniletea zawadi ya mtoto wa kiume.
Hivyo kwa heshima kubwa niliyonayo...
HAKUNA mtu aliyeamini anachokiona mbele yake, kila aliyepita njia alitikisa kichwa na wengine kuangusha machozi. Polisi kutoka kituo cha kati cha Nairobi walikuwa hapo mbele ya kanisa hilo kubwa...
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking sasa naachaje njia...
Ni muda umepita nilikuja Benki kwenu kutoa Pesa kwa Western union (Hata hivyo sikufanikiwa) ukaniomba kitambulisho ikabidi nikupe Passport yangu. Leo nilitakiwa ku submitt Passport yangu...
Ndio nakua babu rasmi nime change sana wakuu naisi tv na mitadao kama JF vinachangia screen zinazeesha sana nina mindita na mijicho red.Naacha rasmi u JF kurudisha nuru TV simu nazo najipunguza...
Hodi jamvini
Naomba ushauri wenu juu ya yatokanayo na mapenzi katika jamii yetu.
Juzi nilikuwa na wakati mgumu baada ya rafiki yangu wa karibu kuniletea nakala ya usia wa ?mali zake?. Yeye ni...
Mi na mke wangu tulikubaliana tuwe na watoto wawili. Na tayari tumeshabarikiwa kupata hao kwa kadiri ya makubaliano ndo mwisho wa kuzaa. Lakini kila nikiwaangalia watoto wangu wawili napata shauku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.