Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

...wanawake wengi wa kitanzania wengi hamjui maana ya mobile phone. Wengi wamezoea masimu ya mezani ya kupiga makelele mpaka mtaa wa saba wanasikia. Utakuta unampigia mwanamke simu...
1 Reactions
78 Replies
9K Views
Habari zenu, Ni muda sasa umepita na yameshasemwa mengi sana kuhusiana na mahusiano,mimi nitakuja kuwaambieni kile ambacho ninafikiri ni sahihi kwenye mahusinao yenu na yangu ya kila uchao...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Dah,mie nilidhani masihara leo nimeshuhudia mtoto wa kike mwenye miaka 16 akinyonyana mate na babu wa miaka kati ya 50-56 hivi...aisee naomba tushirikiane kulitokomeza hili please!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari MMU! Mwenzenu nakerwa sana na tabia ya jirani yangu! kwa kuwa yeye ameathirika basi anataka mtaani na nje ya mtaa wawe kama yeye (mwehu sana!) nimemchana laivu kuhusu tabia yake mbaya...
0 Reactions
102 Replies
9K Views
Hi wakuu Nauliza faida anayoweza kupata mwanamke alokaa muda mrefu bila tendo la ndoa mwaka 1 mpaka 2 au 3 hasa baada ya kujifungua. Weekend njema.
1 Reactions
64 Replies
17K Views
Wana-JF naweka thread hii baada ya kumaliza kuongea na simu na rafiki yangu kipenzi aliyeko morogoro. Ni kwamba huyu bwana ni mtumishi wa serikali aliwahi kuzaa watoto wawili na mdada mmoja huko...
0 Reactions
80 Replies
11K Views
HAKUNA MJADALA, "MME NI KICHWA KWAKO" "Mme Ni Kichwa Cha Mkewe... Hata Kama Kichwa Hakina Akili Bado Ni Kichwa, Na Unavyojaribu Kupangua NAFASI YAKE Unadhihirisha Usivyo Na Akili Zaidi Kwa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Man impregnates own mother, set to marry her! 02/26/2014 Just when you think you've seen everything, something new pops up that dwarfs everything else. Lets take a look at this article from...
0 Reactions
91 Replies
18K Views
Hivi siku wanandoa wanafunga harusi then itokee kuulizwa unajiunga kifurushi chenye MB ngapi .? au cha siku ngapi? Wewe ungechagua kipi.? Naamini mu wazima ndugu zangu. hebu tuchangamshe akili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jana ulizuka ugomvi mkubwa sana hapa katika eneo letu tunapoishi. jamaa alimtongoza bahamedi, bahamedi akakubali kwa sharti kuwa jamaa atampa shs. 21,000 baada ya ku-do. Basi jamaa akampeleka...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Hidya...hidya wangu,jamani nimepoteza mkanda wangu wa kiuno,nimepoteza mupenzi wangu....sijui kama kule arusha,sijui kama kule morogoro,sijui au jiji dar es salaam,sijui ni kule tanga,sijui au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello jf naomba kujuzwa kwa mwanaume wa kawaida asiye na tatizo lolote la afya akishafanya ngono na aka ejaculate bao la kwanza je inakuaje kwa bao la pili nilazima apumzike kwa muda? Au...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Siku hizi bana wadada wakivaa hizi skin tait zao yani zinabana wowo yaani mpaka hadi mchoro wa Pichu ndani na rangi yake unaonekana! Ukikuta na nyonyo limebetuliwa juu mh! Ni shidaa wajameni...
5 Reactions
124 Replies
27K Views
Kenya: For Mr Lemmy Njenga, the Internet has been a formidable asset in terms of gaining entrepreneurial skills and knowledge. The trained aeronautical engineer believed that he could use what he...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY. 1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana) 2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo...
15 Reactions
251 Replies
21K Views
Mara nyingi uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi unafikia kikomo, kutokana na kutoelezana ukweli. Haya mambo ya kuficha kama umeridhika katika kugegedana, ndio watu hutafuta majenereta ya...
3 Reactions
127 Replies
9K Views
Naomba ushauri, mimi ni kijana miaka 28 mke wangu umri huo pia, tumeanza kuishi pamoja 2012 baada ya kumpa Mimba. sasa mwenzangu ni jeuri kiasi na ana wivu sana na sim zangu. Shida kila...
0 Reactions
114 Replies
10K Views
jaman kuna mtu kanambia ananipenda sana nlimfkiria kwa mda mrefu nkagundua nami pia nampenda lkn nina waswas baadae hatanipenda tena anajitahidi kila siku kunijulia hali n kwa sasa kaacha...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom