Yaani mpe hela
mpe mihela
mpe mijihela
mpe mahela
mpe tuuuuuuuuu hakuachi ng'o hata kama hakupendi atakuwa nawewe kwaajili ya hela zako tu.
- mpende
- mthamini
- mjali
- muheshimu
- muamini
Yafuatayo ni mambo matano muhimu ya kumfanyia mpenzi wako ili akupende kwa dhati, hebu jaribu kisha utanipa mrejesho:
1. Mpe hela
2. Mpe hela
3. We mpe hela
4. Nakwambia mpe hela
5. We mpe hela tu utaona.
Yaani mpe hela
mpe mihela
mpe mijihela
mpe mahela
mpe tuuuuuuuuu hakuachi ng'o hata kama hakupendi atakuwa nawewe kwaajili ya hela zako tu.
- mpende
- mthamini
- mjali
- muheshimu
- muamini
Acha kujifariji ndugu, pesa ndo kila kitu wewee.Pesa kitu gani jamani??? Hapo ni point moja tu ya hela umeongea.fuata ushaur wa mimi49
Fikir umpe hela while hujui kugegeda atakupenda???
Mpe hela while unampiga, humweshimu, humjali atAkupenda??
Mpe hela while wewe hujui jukumu lako as men ur responsibility , decision making etc Uone kama atakupenda??
Material woman hahitaj pesa yako yakumhonga may be kawape pesa zako michepuko yako
Yafuatayo ni mambo matano muhimu ya kumfanyia mpenzi wako ili akupende kwa dhati, hebu jaribu kisha utanipa mrejesho:
1. Mpe hela
2. Mpe hela
3. We mpe hela
4. Nakwambia mpe hela
5. We mpe hela tu utaona.
Acha kujifariji ndugu, pesa ndo kila kitu wewee.
"maskini jeuri' ni msemo tu usiuweke akilini.