Je ni mchafu, mvivu au kibri

Je ni mchafu, mvivu au kibri

cj21125

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
3,590
Reaction score
3,530
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.
 
Duuuh kweli amekuchoka!ni mkeo au ni nani kwanza?
 
Acha kumpigia kelele mpigie fimbo atakuelewa tu...!
 
Kama humsingizii huyo ni mchafu na mvivu! lakini t.a.k.o si analo? vumilia kaka, uwe unaosha mwenyewe!
 
  • Hizo ni hila za mtu mvivu:anapenda kuchelewa kulala,matokeo yake anachelewa kuamka
  • Vyombo siku tatu havioshwi huo ni uchafu ulokithiri-hampiki au mna makabati kadhaa ya vyombo?na asipoviosha unachukua hatua gani?unaviosha wewe ama?Ingelikuwa ni mimi ningerudisha hivo vyombo vyote kabatini akija kutaka kutumia anakutana na vichafu kwahio lazima aosheee...
  • Mrudishe kwao akafundwe huyo mkeo au msemee kwa watu wazima mfano mamaake/shangazi wamseme...hajui kama nyumbani ni sehemu ya mwanamke na ni fremu yake!Ni kama mwanamke ajirembe amependezaaa lakini nyumba chafu,hatoonekana hata huo urembo wake!!
 
^^
Ni tabia ya karibuni au ya muda mrefu?
^^
 
  • Hizo ni hila za mtu mvivu:anapenda kuchelewa kulala,matokeo yake anachelewa kuamka
  • Vyombo siku tatu havioshwi huo ni uchafu ulokithiri-hampiki au mna makabati kadhaa ya vyombo?na asipoviosha unachukua hatua gani?unaviosha wewe ama?Ingelikuwa ni mimi ningerudisha hivo vyombo vyote kabatini akija kutaka kutumia anakutana na vichafu kwahio lazima aosheee...
  • Mrudishe kwao akafundwe huyo mkeo au msemee kwa watu wazima mfano mamaake/shangazi wamseme...hajui kama nyumbani ni sehemu ya mwanamke na ni fremu yake!Ni kama mwanamke ajirembe amependezaaa lakini nyumba chafu,hatoonekana hata huo urembo wake!!
Asante mkuu. Usiwaone barabarani wamepaka wanja na lipstik wengine huko nyumbani full majanga uchafu, uchafu......
 
Muda mrefu.

^^
Ajiri mfanyakazi wa ndani, pengine alificha makucha yake wakati wa uchumba, na sasa,kumepambazuka! Usimuache ni dosari ndogo ila tu sahihisha kwa namna hiyo kuepuka kurudia jambo lile lile kila uchao
^^
 
Kama humsingizii huyo ni mchafu na mvivu! lakini t.a.k.o si analo? vumilia kaka, uwe unaosha mwenyewe!
Inaonekana hata wewe ni pasuandonga kama yeye.
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.

endelea kulilea ndugu yangu tena una moyo
kuna wanawake mapambo kama huyu
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.

Mkuu mbona wengine tunaosha! Jipe moyo ndoa ni uvumilivu. Ndio kwenye shida na raha ulikoapa.
 
Acha kulea ugonjwa piga huyo atakuelewa..

Hapana kupiga, mwanamke akikukosea tupia kanga, kitenge au wax atakuelewa!

Swali:
Yeye amempa zawadi ngapi ili kumrekebisha kiupendo alipokosea? Au ndiyo mnadhani kila kitu kinatatuliwa kwa mabavu??
 
Hapana kupiga, mwanamke akikukosea tupia kanga, kitenge au wax atakuelewa!

Swali:
Yeye amempa zawadi ngapi ili kumrekebisha kiupendo alipokosea? Au ndiyo mnadhani kila kitu kinatatuliwa kwa mabavu??

Hilo swala la zawadi muulize yeye sio mimi.

Ni wapi nilipo dhani ebu nioneshe???

Kumpiga mwanamke na kanga labda kama mnacheza lakini sio kwa lengo la kutoa kipigo.
 
Duuuh kweli amekuchoka!ni mkeo au ni nani kwanza?

Si ajabu hajamchoka, inawezekana mwanamke ana mengi ya moyoni ila hiyo inaweza kuwa ndiyo njia ya kutafuta pa kuanzia kufikisha ujumbe wake. Walipoanza mapenzi alikuwa hivyo??

Amejaribu kumuuliza kwa upendo na taratibu kwa nini yuko hivyo? amejaribu kumtoa outing? amempa japo zawadi? kuna siku yeye amefika home akamuita mpenzi wake njoo tufanye hiki (kuosha vyombo labda) aone ata-respond vipi??

Au yeye akifika ni kufoka tuu bila kutafuta njia ya kumpa mwenzie nafasi atoe yaliyomo moyoni??

cc: @cj21125
 
Back
Top Bottom