Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

WIVU Envy is the art of counting the other fellow’s blessings instead of your own.” – Harold Coffin Wivu ni sanaa ya kuhesabu baraka za wengine badala ya kuhesabu baraka zako. Na wivu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
BABA NIFUNDISHE KUHUSU WANAWAKE "Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake? Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamu mdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji elimu hii adhimu, nikupe...
3 Reactions
16 Replies
9K Views
Jamani katika vitu vinavyonikera ni hii ya kuacha vifua/matiti/manyonyo wazi.Huwa naona bora mtu avae nguo fupi kuliko kuweka matiti wazi. Nikifikiria jinsi mtoto anavyozaliwa na mpaka kukua...
0 Reactions
23 Replies
14K Views
Salam wadau! Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu...
1 Reactions
179 Replies
22K Views
Sasa hivi suala la mabinti wengi kuzaa limekuwa kama mtindo wa kisasa(fashion). Katika mambo yanayochangia umaskini na kuzorota kwa maadili kwenye jamii ni hili la watoto wengi kutopata malezi...
4 Reactions
90 Replies
8K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Leo ngoja niulize kitu kwa miaka ya karibuni kumekuwa na wadada wengi ambao wanazalia nyumbani yaani kwa sasa hivi unaweza ukaona binti mkali ukadhani hajazaa kumbe...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari za jioni wana JF, Wenzangu natumaini wote ni wazima wa afya! Nimeona Leo nitoe dukuduku langu moyoni nisikae na kinyongo, humu kuna group lina tabia moja siipendi sana, yani mtu unatoa...
4 Reactions
84 Replies
8K Views
Mtajwa hapo juu ni mzaliwa wa tanga eneo la manga wilaya ya handeni. Tulipoteana mara baada ya kumaliza kidato cha nne pale Mombo sekondari mwaka 2006. Namtafuta walau nimpe shukrani zangu hasa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni dada wa miaka 38 nina watoto 3 kwenye ndoa nina miaka 13, mume wangu ana umri miaka 52. Mwaka huu mwanzoni nilifuma sms kwenye simu ya mume wangu akijibu sms ya mchepuko. Ni hivi...
3 Reactions
192 Replies
18K Views
Nina nia ya dhati kabisa na ukweli kutoka moyoni mwangu najitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI ili awe mwenza wangu wa maisha na tuishi maisha ya matumaini mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Awe mweupe au maji ya kunde.umri kuanzia miaka 17 hadi 25.Mimi ni kijana,nimeajiriwa na pia nimejiajiri.kama una vigezo ni pm.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sasa ni; Naomba wakuu mnieleweshe kidogo. Japo ni nadra, lakini wapo wanawake wenye ndevu. Hii inasababishwa na hormonal imbalance. Lakini kuna tatizo lolote kuoa mwanamke mwenye ndevu?
0 Reactions
68 Replies
17K Views
Ninaye broo wangu anaishi abroad miaka kadhaa, sio siri anatupiga tafu sana kwenye familia tunamtegemea kiukweli, aliwahi kuoa akiwa kule ulaya na kupata watoto 2 baadae wakaachana na yule mke...
1 Reactions
74 Replies
11K Views
Wanawake mnajifanya mnapenda sana wanaume mwisho wa siku mnaishia kuumizwa. Yaani uhusiano kidogo mtu anakukaa moyoni mpaka basi kila mara kupiga simu mara kuulizia amekula nini kumtambulisha kwa...
2 Reactions
57 Replies
6K Views
Habari za muda huu wadau! Nahisi kama tumeacha na mwanamke wangu. Tumekaa naye kwenye mahusiano kwa miaka 2, dini tofauti! Muda mrefu nimemuambia abadili dini ili tuoane, akakubali shingo upande...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
UKIJIHESHIMU UTAHESHIMIKA TU Ili watu wakuheshimu ni lazima wewe mwenyewe kwanza ujiheshimu.Ili ufikie mafanikio makubwa kwenye maisha yako ni lazima ujiheshimu.Lakini watu wengi wamekuwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari. Hivi inawezekana na ni sawa kwa wanandoa kukaa kipindi kirefu bila kukutana kimwili? Inafika zaidi ya mwaka na wakiulizwa wanasema hakuna shida!!
0 Reactions
170 Replies
18K Views
Harusi zimekuwa gharama mno vijana tunaogopa kuoa tunapostpone ndoa mpaka wachumba zetu wanatuona wahuni na wanakwenda kuolewa kwingine.Umri unaenda.Viongozi wa dini wakemee swala la sherehe za...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
ile hadithi tamu na ya kusisimua ya 666:nyayo za kuzimu imeishia wp
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamvi,mimi ni kijana wa miaka 21 ninayesoma katika Chuo kikuu cha Dodoma.jambo ambalo limenileta hapa ni kwamba,kwanza kwa dunia ya sasa hivi nimeona kuna malalamiko makubwa ya MTU...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…