Habari ya usiku wandugu,
Jamani mimi nimepatwa tatizo leo, kuna binti anafanya kazi na mdogo wangu leo nilienda kumsalimia dogo nikamkuta yupo na huyo mwenzie nae ni muajiriwa wa hapo. Huyo binti...
jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu...
UAMINIFU NDIO KINGA KUU
Simu zimevunja ndoa nyingi za watu. Na mtu akikaa kando ndio anajishangaa. Na kujiuliza ni simu tu au? Kwani simu ni kitu kidogo ambacho ukikidharau hautadumu kwenye ndoa...
Malalamiko ya wanandoa kutokuwa waaminifu miongoni mwao yamekuwa mjadala wa sasa kiasi cha watu kuanza kushutumiana na wakati mwingine kuharibu mahusiano yao na hatimaye kuachanisha mahusiano ya...
You used to call me on my
You used to, you used to
Yeah
You used to call me on my cell phone
Late night when you need my love
Call me on my cell phone
Late night when you need my love
And I know...
ADABU YA MUME KWA MKEWE.
1. Usitangaze udhaifu wa mkeo kwa familia na marafiki, kila mmoja anamtunzia mwenziwe hadhi yake.
2. Usiwe na mtizamo mbaya wala kuzungumza naye kwa hisia kali huwezi...
"Love Yourself"
For all the times that you rain on my parade
And all the clubs you get in using my name
You think you broke my heart, oh, girl for goodness' sake
You think I'm crying on my own...
Yamenikuta mimi mwenzenu hata sijui nifanye nini, ila kwa kifupi ni kuwa nimepata ushahidi bila chenga kuwa mke wangu na mfanyakazi wa ndani ama house girl wanasagana.
Bado sijamwambia mke wangu...
Wana JF,
Sina raha kabisa. Nimejaribu kulala lakini imeshindikana. Vidonge vyangu vya usingizi vimeniishia kabisa.
Niliwahi kuleta mada juu ya mpenzi aliyeniacha ingawa muda wote ameniganda...
KADIRI SIKU ZINAPOPITA NA MAMBO HUBADILIKA.
ZAMANI ILIKUWA UNAFUNGA SAFARI KWENDA WASABAHI NDUGU JAMAA NA WENGINEO.
KWA SASA HAKUNA.
PIA TEKNOLOJIA IMECHANGIA.
VIVYO HIVYO UFAHAMU NA UELEWA WA...
Nawashangaa wakaka wa leo hawana vifaa vya kuji link na watoto wa ukweli! Kupata mtoto wa ukweli wala hata haihitaji uwe na mpunga au mkoko wa maana. Ni vile unavyoji package tu.
Pale inapotokea...
Kwanini watu wanasema moyo wangu umependa? Kwanini sio akili ,macho? Sababu kupenda kitu macho ndo yanaona, meseji inapelekwa kwenye ubongo, ubongo unafanya interpretation kama kitu kizuri, kibaya...
Habarini wana MMU,
Naamini uko salama na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Kwanini wanandoa wengi hawana maendeleo mazuri kiuchumi ingawa utakuta wote ni wafanyakazi! Kwanini...
UKIMALIZA KUSOMA HADI MWISHO JIULIZE,
WEWE NI MTUMWA WA NANI?
Pamoja na kuishi kwenye dunia yenye uhuru mkubwa, bado watu wengi wanaishi maisha ya kiutumwa.
Watu wengi wanaishi maisha ambayo...
Wabongo tuishio uswahili bhana shida sana ukimkosea kidogo tu shida. mfano amekusalimia ujamsikia vizuri ujamuitikia atakuambia haya maisha tu . Nao Mademu watakuambia unadharau sana au unajiona...
6 Habits That Are Hurting Your Manhood
If I ask you that with which body part you and your friends relates the word manhood the most, then what should be your answer? Yes, you are right, like most...
UKIAMUA JAMBO FANYA LEO USINGOJE KESHO
Kwenye jambo lolote kubwa unalotaka kufanya, kwenye mipango yote mikubwa uliyojiwekea, usiangalie ukubwa na kuona unahitaji nguvu za ziada au muda wa...
Habari Jf, tuelimishane kuhusu
SABABU ZITAKAZO KUFANYA WEWE BINTI USIOLEWE:-
★1. Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa. Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza!
★2. Kujipaka...