my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Kwanini watu wanasema moyo wangu umependa? Kwanini sio akili ,macho? Sababu kupenda kitu macho ndo yanaona, meseji inapelekwa kwenye ubongo, ubongo unafanya interpretation kama kitu kizuri, kibaya ubongo ndo unatambua kwanini watu wanasema moyo umependa kwanini waseme akili yangu imependa, macho yangu yamependa?