Wanaume punguzeni kututesa, tunaumia jamani

The Donchop

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
294
378
Wana JF,

Sina raha kabisa. Nimejaribu kulala lakini imeshindikana. Vidonge vyangu vya usingizi vimeniishia kabisa.

Niliwahi kuleta mada juu ya mpenzi aliyeniacha ingawa muda wote ameniganda. Tunashinda nae, tunakula nae, tunasaidiana kwa kila kitu.

Wiki hii mwenzangu amebadilika tena. Ameninunia ghafla kisa nimemuuliza kipi kinamfanya aendelee kuwa nami wakati hanipendi. Hilo swali limeibua ugomvi mkubwa. Hataki hata kunisikia kisa nimeuliza hilo swali.
Wana JamiForum, naandika hapa pengine nitajisikia vema. Ila kiukweli, nimejisikia vibaya sana.

Mtu niliyesimama kidelete kipindi akiwa na shida, leo shida imeisha ananiona mkosi! Mtu niliyejinyima kuvaa kwaajili yake ili yeye apate nauli ya kwenda kutafuta maisha, leo hii nimekua chanzo cha yeye kufail maisha!

This is too much wanaume. Msipende kutuumiza namna hii. Ingawa tuna uwezo wa kuvumilia lakini kuna muda mnazidisha na mnapaswa kujua kuwa nasi ni banadamu kama nyinyi.

Mnashindwa kumwambia mtu kama mko kwa muda tu ili usolve matatizo yako mpaka mnatudanganya kuwa mnatupenda na tunawakabidhi mioyo yetu!

Mnashindwa kuthamini upendo wa mtu mpaka mtuumize mioyo yetu? Msitufanyie hivyo tafadhali. Hapa moyo wangu naona umebadilika. Kila mkaka namwona ni walewale. Kila ninapojaribu kusahau nashindwa. Chuki. hasira, huzuni ndivyo vilivojaa moyoni mwangu. Sababu ya mpuuzi mmoja tu.
Leo nalivua hili pendo la kihuni.

Samahanini wana JF, nimependa kuwashirikisha ili mjue ni jinsi gani tunavyoumia na wadada ambao hawajafikwa na hili wakae tayari.
 
Tatizo mnaingiza kichwa na miguu kwa mtu hata hamjaoana wala hajaenda kwenu. Unampenda mtu kama ulizaliwa nae?

Lala ukiamka yameisha, time is the best healer, mwanaume kama hataki mwache aende zake, kwani ulizaliwa nae? Si umemkuta ukubwani tu huyo? Sasa tatizo nn, kwani lazima uolewe kwenye matatizo ndio ijulikane unakipimo cha uvumilivu?

Alafu acha zako unajuta kupoteza nauli ulizo msaidia wakati anatafuta maisha? Ha ha nauli kitu gani bana, hata kama ulitoa kila kitu, watu wanapoteza billions ya pesa na wana sahau wanaanza upya, watu wanalala anaamka kaunguliwa nyumba ndani mke na watoto wamefia huko, na maisha yanaendelea, wewe unalilia nauli? Sasa komalia nauli ufe na machungu ya mapenzi "eti unapenda" walipendana Adam na hawa mwisho wakatengana wa kwanza utakuwa wewe?

Kwani ukimuacha huyo mwanaume hupati mwingine? Utasikia mwanaume wote ni sawa, sawa? hao walio katika ndoa na wanafuraha wao wanaishi na wanawake wenzao? Jibu ni la!

Anyway pole nimeandika kama maudhi hivi ila jua cha muhimu katika maisha ni uhai na uzima wa viungo tu, vingine vyote utafutwa na kupatikana.

Mutangulize Mungu, kuwa mtulivu, usiwe na papara ya ndoa wala kulazimisha ndoa, tafta maisha na acha mwanaume aingie yeye wewe uwe kama half half hata kama umekufa na kuoza.
 
Pole sista ila biblia unasema Linda sana moyo wako,mana ndio chemichemi ya uzima itokapo...usimpe mwanadamu moyo wako tena Hata siku moja atakuua.mpe Mungu peke yake.pole jipe moyo this too shall pass
mkuu kwani swala kumkabidhi moyo mtu katika nyanja ya mahusiano/mapenzi we unalielewaje?
 
Mmhmm... Love, love, love..... Love is sweet but can turn and be bitter .. God help us.. Pole sana dear .. Just pray for the healing Power to manifest in you and stop to communicate with that guy.. Change your number and move on with your life.. Never entertaining Him anymore , focus on God and yourself .. I know its hard but do it for your own good .. Thanks..
 
Wana jf, sina raha kabisa. Nimejaribu kulala lakini imeshindikana. Vidonge vyangu vya usingizi vimeniishia kabisa. Niliwahi kuleta mada juu ya mpenzi aliyeniacha ingawa muda wote ameniganda. Tunashinda nae, tunakula nae, tunasaidiana kwa kila kitu.
Wiki hii mwenzangu amebadilika tena. Ameninunia ghafla kisa nimemuuliza kipi kinamfanya aendelee kuwa nami wakati hanipendi. Hilo swali limeibua ugomvi mkubwa. Hataki hata kunisikia kisa nimeuliza hilo swali.
Wanajamii forum, naandika hapa pengine nitajisikia vema. Ila kiukweli, nimejisikia vibaya sana. Mtu niliyesimama kidete kipindi akiwa na shida, leo shida imeisha ananiona mkosi!! Mtu niliyejinyima kuvaa kwaajili yake ili yeye apate nauli ya kwenda kutafuta maisha, leo hii nimekua chanzo cha yeye kufail maisha!!!
This is too much wanaume. Msipende kutuumiza namna hii. Ingawa tuna uwezo wa kuvumilia lakini kuna muda mnazidisha na mnapaswa kujua kuwa nasi ni banadamu kama nyinyi. Mnashindwa kumwambia mtu kama mko kwa muda tu ili usolve matatizo yako mpaka mnatudanganya kuwa mnatupenda na tunawakabidhi mioyo yetu!!!
Mnashindwa kuthamini upendo wa mtu mpaka mtuumize mioyo yetu? Msitufanyie hivyo tafadhali. Hapa moyo wangu naona umebadilika. Kila mkaka namwona ni walewale. Kila ninapojaribu kusahau nashindwa. Chuki. hasira, huzuni ndivyo vilivojaa moyoni mwangu. Sababu ya mpuuzi mmoja tu.
Leo nalivua hili pendo la kihuni. Samahanini wana jf, nimependa kuwashirikisha ili mjue ni jinsi gani tunavyoumia na wadada ambao hawajafikwa na hili wakae tayari.
da!!!!!! pole sana dada mungu akupe uvumilivu
 
Kuna vitu vingine tunajitakia mapenzi ni kama muwa unapokula muwa ujue kuna fundo na lenyewe ni tamu japo ni gumu
 
Pole sana,jipe moyo. Hawa viumbe baadhi yao wakishajua wanapendwa basi ni tabu tupu. Jitahidi ufanye mambo mengine huenda huyo hastahili mapenzi yako,sio huyo aliekusudiwa maishani mwako,endelea kuomba Mungu akukutanishe na yule special for you
 
Pole sana dada..Ngoja nikupe ushuhuda wangu..Uenda utaambulia kitu

Niliondoka kwenda Iraq kutafuta kula..Huku nyuma nikawa nimemuacha mpnz wangu ambaye tulikuwa tumetimiza mwaka na nusu kwenye mahusiano yetu mpaka dakika hiyo...Na kwa kipindi chote cha mahusiano dem alikuwa ananisaidia sana..Mana yeye alianza kushika pesa mapema kabla yangu..

Kabla ya kuondoka nikaamua nimtambulishe home..Nikamtambulisha kwa Sista na mdogo wangu wa kiume..Lengo,nia na dhumuni la kumtambulisha ilikuwa nataka ndugu wamfahamu ili wanisaidie kumtupia macho kidogo..

Kumbe kipindi mi niko kule sista pamoja na dogorasi walitokea kupatana sana na yule binti..Wakawa wanashirikiana kwenye matukio mengi..Kitu kilichopelekea hata ndugu wengi kumfahamu..

Basi baada ya miaka minne ya kozi yangu ya kukwepa mabomu nikarudi home..Nilivyorudi tukaendelea na mahusiano kama kawa..Ila kipindi naendelea nae kuna kamchepuko kalikuwa kanadoea penzi la huyo dada..Sijui hata nn kilitokea..Kidogo kidogo nikaanza kumchukia mpnz wangu..Visa vikawa haviishi..Mapenzi yakahamia kwa mchepuko..

Kifupi mwisho wa siku nilimwacha mpnz wangu nikaendelea na hili balaa jingine..Binti alilia sana aisee..Sista na Dogorasi walikuwa wakinishauri lakini sikushika hata moja..Mwisho wa siku yule binti akawaambia mwacheni tu aendelee na maisha yake..
Huo ndo ukawa mwisho wa mahusiano yetu..Ila dada wa watu hakukata mawasiliano na sista wala dogorasi..Na bado kwenye matukio mbalimbali ya kifamilia kama harusi,misiba alikuwa anakuja kama kawa kitu kilichopelekea kuonana nae mara kwa mara..
Basi miaka ikazidi kusonga..Ila Kilichokuwa kinanishangaza kila tukikutana nae namuona anazidi kupendeza tu..Anabadilisha magari deile..Nikajua labda ananifanyia maigizo..Ikabidi nifanye uchunguzi..Ndo kuja kugundua kuwa mambo yake ni super ile mbaya..Nikabaki najicheka tu
Now kuna biashara wanafanya na sista..Mambo yanawaendea poa..Uwa tukikaa wananitania sana..Wananiita EP(enemy of progress)..Ananiambia Kaboom uenda ningeendelea na ww nisingefika hapa nilipo..

Ukirudi kwa huyu niliyenae ni balaaaa..Ndoa ni chungu...shubiri naiona asali..Unatamani hata Yesu arudi kesho....

Mawazo chanya:Ukiona unamuomba Mungu gari na hakupatii,Basi jua pengine anakuepusha na ajari..Usilazimishe vitu
 
jamano haya mapenzi ni kitu gan mpk yanafikia hatua ya kuuwa oooh duniani kuna mambo jamaaa

yaam mapenzi yaache yaitwe mapenzi tu yanauma yanaumiza yanafulahisha yanaleta falaja
yaan ndo kila kitu
alosema pesa ina nguvu kuliko mapenzi sikweri
haya mambo usimcheke mwenzio usiombe yakukute ba usijidanganye kuwa eti nimekuwa nshapitia mengi vijana hawatanisumbua tena wewe wacha kabisa
muombe mungu akupe mke/mme bora


DADA pole sana huna jinsi ndo imeshakuwa tena ni 7bu ilikuwa anatafuta 7bu na ameipata piga moyo konde cheki hii picha
2920e3da8ac7eb4c37054b8105f04396.jpg


then pitia huu UZI

Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

niamini atarudi tu one day
na ipo siku atakukumbuka na kulia na kukujutia

chakufanya wekeza ktk kile kinachokuuingizia kipato
najua HUWEZI KUYAKIMBIA MAPENZI lkn yape kisogo kidogo jiweke BUSY
 
jamano haya mapenzi ni kitu gan mpk yanafikia hatua ya kuuwa oooh duniani kuna mambo jamaaa

yaam mapenzi yaache yaitwe mapenzi tu yanauma yanaumiza yanafulahisha yanaleta falaja
yaan ndo kila kitu
alosema pesa ina nguvu kuliko mapenzi sikweri
haya mambo usimcheke mwenzio usiombe yakukute ba usijidanganye kuwa eti nimekuwa nshapitia mengi vijana hawatanisumbua tena wewe wacha kabisa
muombe mungu akupe mke/mme bora


DADA pole sana huna jinsi ndo imeshakuwa tena ni 7bu ilikuwa anatafuta 7bu na ameipata piga moyo konde cheki hii picha
2920e3da8ac7eb4c37054b8105f04396.jpg


then pitia huu UZI

Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

niamini atarudi tu one day
na ipo siku atakukumbuka na kulia na kukujutia

chakufanya wekeza ktk kile kinachokuuingizia kipato
najua HUWEZI KUYAKIMBIA MAPENZI lkn yape kisogo kidogo jiweke BUSY
mkuu uwa mnarudi nyie!!!!!
 
Pole sana dada..Ngoja nikupe ushuhuda wangu..Uenda utaambulia kitu

Niliondoka kwenda Iraq kutafuta kula..Huku nyuma nikawa nimemuacha mpnz wangu ambaye tulikuwa tumetimiza mwaka na nusu kwenye mahusiano yetu mpaka dakika hiyo...Na kwa kipindi chote cha mahusiano dem alikuwa ananisaidia sana..Mana yeye alianza kushika pesa mapema kabla yangu..

Kabla ya kuondoka nikaamua nimtambulishe home..Nikamtambulisha kwa Sista na mdogo wangu wa kiume..Lengo,nia na dhumuni la kumtambulisha ilikuwa nataka ndugu wamfahamu ili wanisaidie kumtupia macho kidogo..

Kumbe kipindi mi niko kule sista pamoja na dogorasi walitokea kupatana sana na yule binti..Wakawa wanashirikiana kwenye matukio mengi..Kitu kilichopelekea hata ndugu wengi kumfahamu..

Basi baada ya miaka minne ya kozi yangu ya kukwepa mabomu nikarudi home..Nilivyorudi tukaendelea na mahusiano kama kawa..Ila kipindi naendelea nae kuna kamchepuko kalikuwa kanadoea penzi la huyo dada..Sijui hata nn kilitokea..Kidogo kidogo nikaanza kumchukia mpnz wangu..Visa vikawa haviishi..Mapenzi yakahamia kwa mchepuko..

Kifupi mwisho wa siku nilimwacha mpnz wangu nikaendelea na hili balaa jingine..Binti alilia sana aisee..Sista na Dogorasi walikuwa wakinishauri lakini sikushika hata moja..Mwisho wa siku yule binti akawaambia mwacheni tu aendelee na maisha yake..
Huo ndo ukawa mwisho wa mahusiano yetu..Ila dada wa watu hakukata mawasiliano na sista wala dogorasi..Na bado kwenye matukio mbalimbali ya kifamilia kama harusi,misiba alikuwa anakuja kama kawa kitu kilichopelekea kuonana nae mara kwa mara..
Basi miaka ikazidi kusonga..Ila Kilichokuwa kinanishangaza kila tukikutana nae namuona anazidi kupendeza tu..Anabadilisha magari deile..Nikajua labda ananifanyia maigizo..Ikabidi nifanye uchunguzi..Ndo kuja kugundua kuwa mambo yake ni super ile mbaya..Nikabaki najicheka tu
Now kuna biashara wanafanya na sista..Mambo yanawaendea poa..Uwa tukikaa wananitania sana..Wananiita EP(enemy of progress)..Ananiambia Kaboom uenda ningeendelea na ww nisingefika hapa nilipo..

Ukirudi kwa huyu niliyenae ni balaaaa..Ndoa ni chungu...shubiri naiona asali..Unatamani hata Yesu arudi kesho....

Mawazo chanya:Ukiona unamuomba Mungu gari na hakupatii,Basi jua pengine anakuepusha na ajari..Usilazimishe vitu
ivi uliwahi hata kumwomba msamaha?
Sa inakuaje mpaka unamwacha aliyekusubiri unaoa mwingine?
 
Pole sana dada..Ngoja nikupe ushuhuda wangu..Uenda utaambulia kitu

Niliondoka kwenda Iraq kutafuta kula..Huku nyuma nikawa nimemuacha mpnz wangu ambaye tulikuwa tumetimiza mwaka na nusu kwenye mahusiano yetu mpaka dakika hiyo...Na kwa kipindi chote cha mahusiano dem alikuwa ananisaidia sana..Mana yeye alianza kushika pesa mapema kabla yangu..

Kabla ya kuondoka nikaamua nimtambulishe home..Nikamtambulisha kwa Sista na mdogo wangu wa kiume..Lengo,nia na dhumuni la kumtambulisha ilikuwa nataka ndugu wamfahamu ili wanisaidie kumtupia macho kidogo..

Kumbe kipindi mi niko kule sista pamoja na dogorasi walitokea kupatana sana na yule binti..Wakawa wanashirikiana kwenye matukio mengi..Kitu kilichopelekea hata ndugu wengi kumfahamu..

Basi baada ya miaka minne ya kozi yangu ya kukwepa mabomu nikarudi home..Nilivyorudi tukaendelea na mahusiano kama kawa..Ila kipindi naendelea nae kuna kamchepuko kalikuwa kanadoea penzi la huyo dada..Sijui hata nn kilitokea..Kidogo kidogo nikaanza kumchukia mpnz wangu..Visa vikawa haviishi..Mapenzi yakahamia kwa mchepuko..

Kifupi mwisho wa siku nilimwacha mpnz wangu nikaendelea na hili balaa jingine..Binti alilia sana aisee..Sista na Dogorasi walikuwa wakinishauri lakini sikushika hata moja..Mwisho wa siku yule binti akawaambia mwacheni tu aendelee na maisha yake..
Huo ndo ukawa mwisho wa mahusiano yetu..Ila dada wa watu hakukata mawasiliano na sista wala dogorasi..Na bado kwenye matukio mbalimbali ya kifamilia kama harusi,misiba alikuwa anakuja kama kawa kitu kilichopelekea kuonana nae mara kwa mara..
Basi miaka ikazidi kusonga..Ila Kilichokuwa kinanishangaza kila tukikutana nae namuona anazidi kupendeza tu..Anabadilisha magari deile..Nikajua labda ananifanyia maigizo..Ikabidi nifanye uchunguzi..Ndo kuja kugundua kuwa mambo yake ni super ile mbaya..Nikabaki najicheka tu
Now kuna biashara wanafanya na sista..Mambo yanawaendea poa..Uwa tukikaa wananitania sana..Wananiita EP(enemy of progress)..Ananiambia Kaboom uenda ningeendelea na ww nisingefika hapa nilipo..

Ukirudi kwa huyu niliyenae ni balaaaa..Ndoa ni chungu...shubiri naiona asali..Unatamani hata Yesu arudi kesho....

Mawazo chanya:Ukiona unamuomba Mungu gari na hakupatii,Basi jua pengine anakuepusha na ajari..Usilazimishe vitu
Shikamoo daddy shigongo
 
Back
Top Bottom