Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hi wapendwa, Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana. Mwenye sifa hizo anifollow pm
10 Reactions
158 Replies
18K Views
Habari wana jamvi! Najitokeza tena kwa mara nyingine kuomba ushauri kwenu. Ni juu ya huyu workmate wangu, ni binti niliyemfukuzia kwa kumwambia maneno ya kila rangi ya utamu lakini akanichomolea...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakuu huyu mtoto nimemis thread zake za kitoto sijaziona muda mrefu sijui huko canada kuna nini kilichomsibu popote alipo mwambieni arudi tena jf
2 Reactions
65 Replies
6K Views
nimepata msichana bikra nimembikiri, nimesha shiriki nae kama Mara 4 lakini dem inaonekana ni gogo.hivi wadada mnijuze ni muda gani mnatumia kuwa nafundi kitsndani,huyu wangu hataki...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Natumaini ya kua hamjambo jioni hii. Wapendwa katika Bwana leo ni siku ya pili nimekua nikiota ya kua niatapata mke mwema kupitia jukwaa hili. Mimi ni kijana wa kiume miaka 29 mkristo, naomba...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
I love to be rich, i love to be rich because every thing about the rich is high. 1. When the rich sits on a table that table becomes high table. 2. When the rich dwells in a locallity that...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
HABARI ZA MAPUMZIKO WADAU. KUNA JAMBO LINANITATIZA NA NASHINDWA KUMUELEWA HUYU DEMU WANGU. KANIOMBA ELFU 50 NIKAMJIBU MPENZI LEO SINA HELA. MARA INAINGIA SMS IPO KIASI GANI? JAMANI NAOMBA...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Msichana yeyote aliye tayari for a nasty chat kwa usiku wa leo tu aniPM
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Wasee, kwanza niaje Niaje?. Niko hapa hivi, nlifanya schedule ya appointment na manzi flani wa udoo, juu sipendi wale manzi hungry cos wanakunga ung'ong'o. Sasa huyu manzi wa udoo yeye...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wapendwa,kuna kitu kinanikera mpaka nimeamua kuongea na inabidi tumuogope Mungu,kuna jamaa mmoja alioa akafukuza mke wake,badae akamrudia mke wake Mungu akawajalia mtoto mmoja,wakati huyo...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Wazee heri? Nina mwanamama anahitaji ushauri na liko nje ya uwezo wangu mie. Hivyo nimeona niwashilikishe hapa. Kakaa kwenye ndoa miaka 22. Na kaolewa kwa nguvu si kwa kupenda; hivyo hajawahi...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Mabibi na mabwana, Ya leo ni kuwa, Kasie kajikuta kwenye dimbwi la maji ya uaridi yasochosha kuoga wala kunawa wala kuyanywa vivyo hivyo kuyapikia na kuyafulia. Kasie amejikuta amemdondokea...
5 Reactions
80 Replies
6K Views
Kuna dada mmoja nikikuwa namfahamu miaka mingi sana. Kama miama 15. Kipindi hicho tukiwa ni wasichana wa miaka 25. Dada huyo ghafla akawa na mahusiano na mume wa dada yangu. Nilimchukia sana. Dada...
11 Reactions
12 Replies
2K Views
Upoleee... upole ni ngao yangu Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu..... Sina kinyongo na...
13 Reactions
77 Replies
6K Views
salaaamu! Ni ombi. . . .wanaume kwa wanawake embu tumrudie Mwenyez Mungu huenda mapenz yetu katika uchumba na ndoa zetu zikapona. Jaman,tupo pabaya kwakweli.upenz haudumu,uchumba haudumu,ndoa ndo...
1 Reactions
1 Replies
856 Views
Amani Iwe Juu Yenu! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale kwa ajili ya kujitafutia riziki! Nisiwachoshe sana,ngoja niende moja kwa moja kwenye mada! Kuna siku mwezi uliopita nilikuwa...
3 Reactions
29 Replies
12K Views
Tumsaidieni dada huyu wanaJF na tutajifunza mengi kwa hiki kisa chake. Mimi nimeolewa miaka 2 iliyopita tunaishi vizuri na mume wangu japo mi sina raha na hivi ninavyoandika hii msg nimenuna...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kulingana na sensa iliyopita, mko wanawake milioni moja zaidi ya wanaume. Kuna wanaume wengine ni mashoga. kuwa na mwanaume wa kwako peke yako ni kitu kilichoshindikana. tunadanganyana tu...
1 Reactions
76 Replies
5K Views
Habarini wanajamvi...Mi nina umri wa miaka 40...nilizaa na mdada then tukaachana ka miaka minne...ananiomba mara nyingi sana turudiane...sasa naingiwa sana na huruma ya kutaka kumrudia ila kusema...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom