Nimenasa

47pro

JF-Expert Member
Aug 3, 2015
1,204
332
Wasee, kwanza niaje Niaje?.
Niko hapa hivi, nlifanya schedule ya appointment na manzi flani wa udoo, juu sipendi wale manzi hungry cos wanakunga ung'ong'o.
Sasa huyu manzi wa udoo yeye amenikanja kishenzi nikatupa vibes na ndoano ime-mgwara vifiti. By the tuli-schedule appointment kwa hii resto ya carnivals, na yeye alifika before hiyo schedule hour na alikua amefika na mabesthe zake kama mtu Tatu hivi na time me nafika hiyo resto, damaged bill ilikua already 4000/=Kshs. Na hiyo ni yeye na mabesthe zake tu, for the time being sijakiss hata chupa moja!
Wasee Hebu mniambiye nijifanye I don't know her then nijitoe kiroho Safi kabla noma na mashart kushikana?
Hata kama mwanaume ni kukaa ngumu, how can I clear 4K bill na sahiyo mshahara yangu ni 10,000/=Kshs?
Aki si ni bora nitafute chips funga hata wa panchi? Ama ni kuzubaa?
 
Kama ingekuwa me, ningevacum kabla so haijaansa, Wacha iyo manzi hapo chukua chips funga ako na enda kukulia homee
 
Huyu ni mtz sema kajifanya kuandika ka mtu ya kenya.

Sema nini we nenda wachek ila kila mtu atajilipia alichokula
 
Back
Top Bottom