Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
MREJESHO Habari ndugu ZANGU...NADHANI...nilileta Uzi ulisema. MKE WANGU KAACHA NDOA YAKE KISA KAZI.. .. ... Leo nawaletea MREJESHO... Baada ya Mwanamke kuondoka kusikojulikana,,huko alipokuwa...
12 Reactions
102 Replies
2K Views
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake...
26 Reactions
251 Replies
3K Views
Nimeoa, ndoa yangu ina miezi 6 lakini mke wangu kaondoka nyumbani na kaniacha anadai talaka ananishutumu kuwa nina mahusiano na Mama yangu. Nyumbani kwetu tumezaliwa watatu na wote ni wakiume...
12 Reactions
183 Replies
6K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!! (Ukistaajabu ya Musa utayaona ya silent killer leo.) Sasa baada ya ile post nikapata PM, sio PM ya kawaida naweza iita THE PM...
37 Reactions
1K Replies
117K Views
Huwezi kuvaa nguo fulani sababu hawatakuelewa. Huwezi kuishi mtaa fulani watakuona maskini sana au tajiri sana. Huwezi kula pale kwasababu siyo hadhi yako. Huwezi kuoa au kuolewa na mtu...
16 Reactions
39 Replies
509 Views
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 43. Ni mfanyabiashara na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam. Mwaka 2011 nikiwa na umri wa miaka 36 nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na...
36 Reactions
561 Replies
92K Views
Yan husumbuan na yeyote.Ni bata tuh Yaan hakuna unayemuaz,hakuna stress ni raha jaman,na hufi mapem. Ila wenye ndoa na mahusiano na wahurumia jamani
1 Reactions
11 Replies
181 Views
Sijajua kwako wewe mtu wa karibu sana ni nani, lakini wapo ndugu, mke, mama, baba, kaka, dada wametuzunguka. Kwanini nasema Kijana ni lazima kuowa ? kwasababu binadamu tunategemeana.. Kabla ya...
2 Reactions
7 Replies
451 Views
Kuna mke wa jiran ananitaka,ila mm simtak sijui nifanyaje maana anasema eti anipend na hawez kuish bila mm.Na mimi sitak kuzin na mke watu
2 Reactions
8 Replies
164 Views
Kuna umri utafika utakua peke yako au na houseboy wako au housegirl wako. Muombe Mungu umri huo ukukute na mke au mume. Umri ambao utakua unapokea simu za kuambiwa mzee fulani kafariki,umri wa...
9 Reactions
17 Replies
249 Views
Nani kawahi kukutwa na hili jambo kufukuzwa ama alimfukuza mwanamke nyumbani kwake baada ya kunyimwa ngono au wenyewe mnavyoita kizungu sex Kisa changu mimi πŸ‘‡πŸ‘‡ Kuna Kijana mmoja nimemuwekaga tu...
13 Reactions
187 Replies
8K Views
Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine...
35 Reactions
860 Replies
19K Views
Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini...
20 Reactions
104 Replies
2K Views
Week end njema .πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
4 Reactions
12 Replies
303 Views
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume. Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke ...
5 Reactions
9 Replies
194 Views
Mademu ni dhaifu sana kwa wanaume weupe ila wanachokutana nacho huko kusalitiwa mara kwa mara licha ya juudi wanazofanya ndo wanavungaga wanawapenda wanaume weusi jambo ambalo so kweli Yani...
2 Reactions
22 Replies
355 Views
Kutokana na hizi mvua na baridi za hapa na pale, sio muda sahihi wakuachana wakuu. Hapa nilipo...
8 Reactions
88 Replies
465 Views
ugonile, Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti...
38 Reactions
247 Replies
8K Views
Kwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana. Sasa majuzi, mchepuko wangu...
7 Reactions
48 Replies
502 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…