Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Tujitafakari! Ikiwa mtu akisababisha ajali au makosa lesni yake inafungwa ili kutoa nafasi ya kujirekebisha au kujutia umefika wakati sasa hata cheti cha ndoa kitambulike kama leseni mtu...
1 Reactions
10 Replies
103 Views
Habari Wana JF Kwa maisha ya sasahivi ya vijana wakiume na utandawazi uliopo yanaelekea hatarini Nakumbuka kipindi nakuaa nilipoanza form 3 katika kupigapiga story darasani ziliingia story za...
3 Reactions
20 Replies
385 Views
Habari na poleni na uwajibikaji! Kuna jirani yangu (Mtanzania) ndoa ya miaka 3 mpaka sasa, na alimuoa huyo mwanamke (raia wa Zambia) tayari mke akiwa na mtoto aliyezalishwa akiwa nyumbani kwa...
6 Reactions
52 Replies
787 Views
Salama Mama wa miaka 40+ kuonyesha kunitaka kimapenzi, ana watoto 5 wakubwa , mtoto wake wa kwanza ana 22, ana Mme wake wa ndoa anaishi naye na wana maisha ya uchumi wa kati na ana biashara...
6 Reactions
32 Replies
857 Views
Hii mada inawahusu wale waliooa au wanaishi na wachumba zao au wanaishi na mpenzi wake au anaishi na mwanamke tu. Je ni halali kwa mwanamke kubana tendo la ndoa bila sababu na baridi hii kali na...
18 Reactions
143 Replies
26K Views
Kumekuwa na kasumba iliyoibuka hivi karibuni ya mabinti kupenda mwanamme aliyeoa na hata kudiriki kumtegeshea mimba ili aolewe mke mwenza. Nina Brother yangu toka nitoke alipata kazi Shinyanga...
23 Reactions
169 Replies
3K Views
Unaweza pata mke mazingira ya ajabu sana.kama mimi huyu mke wangu tulijuliana naye msiban na nikaanza mazoea naye mpaka tukaja tukaoana.
2 Reactions
13 Replies
298 Views
Habari gani kwenu wakuu? Najua mapambano bado yanaendelea, hakuna kukata tamaa.. Kuna uzi niliwahi kushare humu kuhusu huyu mwanamke wangu kuwa na tabia ya kushare mambo yetu ya faragha kwa...
21 Reactions
111 Replies
2K Views
Mpambano ni mkali sana huku ground wanaume wanatafuta bikra wanawake wanatafuta wanaume wenye marinda Dunia imeenda kasi sana kumpata bikira kipengele na kumpata mwanaume Mwenye uanaume ni...
3 Reactions
12 Replies
187 Views
Wale haters naona wamepungua kwa posts na nyuzi zangu Sikutaka kuwa napost haya! Ila wale wajinga waliosema nakaa kwa shemeji nikasema anhaa hadi wakimbie nyuzi zangu
3 Reactions
37 Replies
618 Views
Ila hao wanaoyakataa sijui wana matatizo gani.maana mimi saiv najiandaa kutoka out na kipenzi changu pinayah mtoto huyu wa kihindi ananikubali sana tupo naye hapa dar nilimtoa marekani.nikamwomba...
2 Reactions
12 Replies
219 Views
Umeangalia vigezo vyako kwamba ni kweli Hana mtoto ila kwenye kipengele Cha Tattoo akakuambia ujana , ulimbukeni na kuiga nawe ukakubali? NI SAWA BRO. Kitu muhimu uelewe visivyokuwa na shaka...
10 Reactions
91 Replies
1K Views
Nikisema Nikuahidi Mbwembwe Za G.S.M wa Katoro Ntakudanganya Mimi Na Uongo Hatukai Zizi Moja, Mimi Ni Mwembamba Wa Mwili ila Mnene Wa Mahaba Nakuahidi Bima Ya Amani Moyoni Na kifurushi Cha...
5 Reactions
60 Replies
575 Views
Huyu demu wanamuita shuu saloon, ni brand kubwa mjini anavo jiita yeye, sasa huyu manzi alipata ujauzito akajifingua, akadai baba wa MTOTO ni mwarabu wa Dubai mfanya biashara. Hatujaa kaa...
3 Reactions
21 Replies
555 Views
KWEMA WANAJUKWAA. Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli. Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni...
15 Reactions
318 Replies
6K Views
Nimekuwa nikijiuliza kila mara ni kwa kiwango gani mtu anaweza kujitoa kwa ajili ya mwingine. Wakati mwingine watu tunaowadharau au kuwaona hawana thamani ndio wanaoweza kubadilisha maisha yetu...
7 Reactions
30 Replies
602 Views
Kwa mda mrefu nimeishi katika maisha ya kuunga unga sana chumba kimoja zile nyumba za kupanga za mabehewa ya train yaani mnakuta milango yote imejipanga ivi kama mabehewa. Ilikuwa ngum kuleta...
10 Reactions
20 Replies
438 Views
Nimeoa single maza sasa kuna huyu mtoto wake mpaka imefikia sehemu ananiogopa kunikumbatia na kunishika mkono. Maana anapigwa shoti. Wadau nini sababu ya hili. Karibuni
1 Reactions
20 Replies
343 Views
Habari za leo. Niko na hali mbaya kiuchumi,na msaada pekee ninaouona ni mchepuko wangu ndio naona anaweza kunipiga tafu,huyu maza alikua mke wa mtu akaachika so mimi nikawa najipigia...
6 Reactions
35 Replies
313 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…