Jamani naombeni ushauri,
Nina mchumba yuko kijijini nimezaa nae mwaka jana nikaenda masomoni haki yake nimekuwa nikimpa napoenda likizo but mwezi ulopita nikamjaribu kuwa kuna kitu nakihisi...
Friends, lovers, haters, admirers, jump-offs, and basically all and sundry, here's to wishing the Yuletide season fills you all with the warmth, love, cheer, and joy that you all deserve.
Warmest...
Jamani nimegombana na mpenzi wangu,,najua hatuwezi kurudiana tena ila bado moyo una muwaza yeye,,sasa naomba mtu ambaye anajua dawa ya kumsahau mtu na kuondoa stress za mapenzi,,please nipo...
UJUMBE MUHIMU KWA WANAUME WOTE.
1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.
2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea...
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.
Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati...
Wakuu nawasalimu.
ninalo dukuduku kuubwa nimelibeba moyoni kwa kilichotokea.wakuu ni juma moja sasa tukiwa ktk mtego wa kumtega bazazi moja linalopenda kutongoza wake za watu,ni hivii rafiki...
Nimekutana na msichana mdogo sana ni mwanafunzi mhitimu wa form 4,nikamuaproach kanikubalia tumefikia kuwa wapenzi kwa siku mbili tofauti,cha ajabu hajawahi kunipgia simu hata siku moja na tuna...
Akili ya midume kabla ya kuoa,
Mke asipomjali na kumpenda mama yangu kwakweli itabidi tu tuachane, yaani mama yangu alivyonihangaikia kwakweli sitaki mtu wa kumnyanyasa kabisa, ikitokea nikaoa...
Kumekua na hulka ya akina dada, hasa wa kizazi cha leo, akina mama sio sana pindi anaposikia kuwa mume wake amechepuka ataanza kuhisi mambo mengi, kama kujitoa kasoro, au kufikiria nini mume wake...
Habarini wana-JF wenzangu!!!
Kwanza namshukueu Manani kabla ya yote.
Na bila kuchelewa Naenda Kwenye mada yangu.
Kuna binti nampenda sana yaani sana mpaka naumwa.
Na binti mwenywe mweupe,sura...
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja na tumezaa mtoto mmoja tupo mikoa tofauti sababu ya kazi, tatizo linaanzia hapa mimi nisipoanza kumtafuta kuwajulia hali atakaa sku3 kimya, ila ikitokea...
Mapenz yana raha kama mnapendana kwa dhati.
Japo kwa kifupi elezea how much do you love him/her, hua unapenda kumuita jina gani la kimapenzi? when you look at him/her what do you see? Are you...
Kuwa kwenye mapenzi na mwanamke inategemea ni kiasi gani umejicommit na umejitoa kwake. Wataalamu wa mambo ya sexiology wanasema kuwa mwanamke anafikiri zaidi kwa kutumia moyo ndio maana...
Wapendwa
Ninawapenda, naomba mnisaidie............ Ni nini nafasi ya 'heshima' ndani ya mapenzi.
Samahanini ninauliza hivi kwa sababu nimejikuta kwenye dilema. Wote mpenzi wangu pamoja na...
Wanawake huaga wanawajaribu wanaume kwa majaribu fulani ili waweze kujua kama wanaune hao wanafaa kuishinao, bila ya kupima au kufanyia tafiti kama hayo majaribu yao wanayo yatumia kama yapo ndani...
Habari wanaMMU
Bila kupoteza muda naomba kufahamu hasa kutoka kwa wanaume waliooa kama hii hali inatokea na kwako.
Hivi na ninyi huwa mnaulizwa maswali mfulululizo kama mimi kutoka kwa wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.