Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,159
- 45,852
Kama head ilivyo hapo juu.
Wazazi mlio na watoto wa kike wachungeni sana watoto wenu dhidi ya ma sponsa na vijana wengine
Mimi kama kijana,nimeshuhudia mabinti karibu wote ninawafahamu na baadhi niliowahi ku date nao hawana mwanaume mmoja
Unakuta mtoto wa kike umri miaka 19 tu au 18 anakua na wanaume 7 (ndio saba wala sijakosea)
Kati ya hao saba ,6 amefanya nao mapenzi tayari,na watatu kati yao ni watu wazima wenye wake
Nawataadhalisha kabisa wazazi siku yakiwakuta msijekuleta post humu mkilalamika
Nimeshaona binti akiambukizwa ukimwi ana miaka 20 hivi ndio kamaliza form 4
Watoto wa kike sikuizi wanapenda sana pesa tena mizazi mingine sijui ndo ile mihuni ya miaka ile
Maake najaribu kujiuliza malaya wa zamani wako wapi ?
Jibu ni kuwa sikuizi wamezaa na wana watoto wa kike ambao wako form 3 wanakuja na nguo mpya na simu mpya nyumbani na hawaulizi vimetoka wapi
Mwaka 2016 nilishuhudia mzazi wa kike anampigia simu binti yake anamuuliza binti yake kuhusu boy friend wa binti huyo kama ni mzima (hajambo)
Mnajua matokeo yake ?
Binti sasaivi amezalia kwao na shule ndio basi tena
Yani kuna wazazi binti anasafiri nyumbani haieleweki ameenda wapi binti wa o level na wanacheka cheka tu
MABINTI WA MIAKA 16-26 WA KIZAZI HIKI WATAPATA SANA UKIMWI ACHILIA MBALI MIMBA
Wazazi muamke,malezi sikuizi yamekufa
Yani mimi siku nikiamua kuoa nitaoa bikra kwa jinsi hali nilivoiona mabinti sikuizi uhuni mwingi
Kwa wale mnaotaka picha.hakuna picha,uzi unasikitisha
NB
Narudia hayo hapo juu sio chai.nimeyaona in real life ila nimejaribu kufupisha nisije kujulikana nikiyaongelea kwa undani
Wazazi mlio na watoto wa kike wachungeni sana watoto wenu dhidi ya ma sponsa na vijana wengine
Mimi kama kijana,nimeshuhudia mabinti karibu wote ninawafahamu na baadhi niliowahi ku date nao hawana mwanaume mmoja
Unakuta mtoto wa kike umri miaka 19 tu au 18 anakua na wanaume 7 (ndio saba wala sijakosea)
Kati ya hao saba ,6 amefanya nao mapenzi tayari,na watatu kati yao ni watu wazima wenye wake
Nawataadhalisha kabisa wazazi siku yakiwakuta msijekuleta post humu mkilalamika
Nimeshaona binti akiambukizwa ukimwi ana miaka 20 hivi ndio kamaliza form 4
Watoto wa kike sikuizi wanapenda sana pesa tena mizazi mingine sijui ndo ile mihuni ya miaka ile
Maake najaribu kujiuliza malaya wa zamani wako wapi ?
Jibu ni kuwa sikuizi wamezaa na wana watoto wa kike ambao wako form 3 wanakuja na nguo mpya na simu mpya nyumbani na hawaulizi vimetoka wapi
Mwaka 2016 nilishuhudia mzazi wa kike anampigia simu binti yake anamuuliza binti yake kuhusu boy friend wa binti huyo kama ni mzima (hajambo)
Mnajua matokeo yake ?
Binti sasaivi amezalia kwao na shule ndio basi tena
Yani kuna wazazi binti anasafiri nyumbani haieleweki ameenda wapi binti wa o level na wanacheka cheka tu
MABINTI WA MIAKA 16-26 WA KIZAZI HIKI WATAPATA SANA UKIMWI ACHILIA MBALI MIMBA
Wazazi muamke,malezi sikuizi yamekufa
Yani mimi siku nikiamua kuoa nitaoa bikra kwa jinsi hali nilivoiona mabinti sikuizi uhuni mwingi
Kwa wale mnaotaka picha.hakuna picha,uzi unasikitisha
NB
Narudia hayo hapo juu sio chai.nimeyaona in real life ila nimejaribu kufupisha nisije kujulikana nikiyaongelea kwa undani