Natafuta single mother wa kuoa!

Natafuta single mother wa kuoa!

Binti tz

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
371
Reaction score
704
Nina miaka 30 sitaki vibint maana mimi mzee nataka singo matha wa watoto wawil alafu niongeze wawil wa kwang wote watakuwawakwangu. nataka atakaye ridh mal yangu sitak kufa bila mtoto.maana naona umr umeenda.
 
Kataa ndoa simo nanyi tena nataka niheshimike sasa kama baba
 
Nina miaka 30 sitaki vibint maana mimi mzee nataka singo matha wa watoto wawil alafu niongeze wawil wa kwang wote watakuwawakwangu. nataka atakaye ridh mal yangu sitak kufa bila mtoto.maana naona umr umeenda.
We sema unataka mwanamke wa kuoa weka vigezo vyako kwa heshima sio "single mother" sio rahisi kuaminika maana neno hili siku linatumika km simango kwa dada zetu
 
30 had hujazeeka tafuta binti uoe achana na masingle maza mtoto wake akikukosea huna uhuru wa kumuadhibu hata watoto wenyewe wakisha kua tu hawatakuheshimu tena
 
Back
Top Bottom