Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Jamani naombeni ushauri if mmewahi kupia nanyi hichi kilichonikita mimi kwa mrembo huyu usiku wa kuamkia leo. Kila tukiingia mzigoni Goal moja mtoto anazimia na after 20mins anazinduka anakunywa...
3 Reactions
78 Replies
8K Views
Ni mtu wangu wa karibu sana, ila kwenye agenda ya mahusiano huwa sitaki kabisa kuwa naye karibu maana hatuendani kabisa. Mwanaume ana mke na watoto. Kwa sasa, mke yupo mkoa mwingine na yeye mkoa...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Hivi huwa mnatuchukuliaje tunapokuwa tumevaa vikuku au cheni mguuni? Mwanamke wako akivaa ni sawa au hampendi? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
123 Replies
20K Views
Demiss nimekuelewa sana we mtoto. Nimekupa upendeleo maalumu. Nimekuchagua uje ulale na Mimi usiku wa Leo kwenye kitanda maalumu . Nipo Dodoma Leo. Nikukute Pm haraka sana. Once again "...
3 Reactions
94 Replies
8K Views
Salaam kwenu wakuu!! Mara nyingi sana imekuwa ikitokea kwamba wake zetu na ndugu zetu kuna uhasama,ubabe au migogoro midogo midogo inayotokea, huenda ikawa kati ya wazazi wetu hasa mama zetu na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari jf Nimekuwa natoka kimapenzi na binti mmoja mrembo sana kimuonekano hapa jijini kwa muda wa miezi mitatu udhaifu wa mrembo huyo ni kuwa gogo kitandani, yaani hajui na hawezi kabisa...
3 Reactions
76 Replies
8K Views
Mtoto wa kike wewe, pichu unafua kwenye washing machine, huna haya? Zile safari zako za mwezi pia utarun washing machine kila siku? Pichu ifue kwa mikono, uanike sehemu itakayo pata jua na hewa...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari wapendwa wa JF? Leo naomba tujadili hili suala maana hata mimi nimekuwa muhanga namba moja wa kufanyiwa vitendo kama hivi. Baada ya kuachana na mpenzi wako unashangaa anaanza kutoa maneno...
7 Reactions
128 Replies
11K Views
Kumekuwepo na promotion nyingi sana kunadi dawa za nguvu za kiume; Ukweli ni kwamba hili tatizo siyo kubwa kama jamii inavyokaririshwa; wanaume tupo fit kitandani kwa zaidi ya asilimia 95%...
48 Reactions
198 Replies
30K Views
mara zote mwanaume ana upendo wa dhati sana sema tu ikitokea kasalitiwa na mpenzi wake anaamua kulipiza kisasi na hii fikira kati ya 100% basi 99% ya wanaume huwaza kisasi yani ni kama mtawala...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huyu jamaa aliamka asubuhi na kuanza kumwagilizia bustani lake badae mkewake wa ndoa anaye ishi naye akasikia sms inaingia kwenye simu ya mumewe iliyokuwepo sebuleni, mwanamke akaisoma, sms...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, nilikuwa natamani kumiliki iPhone kitambo...juzi nikakamilisha mpunga...nikaingia shop kariakoo ili nikatulize moyo wangu, lengo langu ni kupata iPhone 6+ mfukoni nilikuwa na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu binafsi style nyingi wakati wa kugegeda nmefanya, ila hii ya popo kanyea mbingu inawezekana nshafanya ila ni jina tu limenichanganya coz naona imekuwa maarufu hapa jamvin. Wanaoielewa naomba...
5 Reactions
107 Replies
56K Views
Salaam wana MMU, katika interview aliyofanyiwa Diamond kwenye media yake, amesema kuwa aliyekuwa mwenza wake aliukuwa anachepuka na watu kadhaa aliwataja. Hapa sasa ndio napata somo kuwa maswala...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Hivi mnaoenda ukweni kusalimia au kwenye shughuli yeyote boksa kwa wanaume au chupi kwa wanawake huwa mnazianikia wapi?
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu salama?? Bila poteza muda wacha niende kwa topic direct. Toka hii wiki ianze najikuta nataman madem wa nje, na plan zangu sitak chepuka saiv ila daah!! Huku nakoenda ntachepuka kweli...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Leo nimeulizwa eti kati ya mke wangu na mama yangu mzazi nani nampenda zaidi? Sijajibu sababu mama mzazi na mke hawalinganishiki hata siku moja. Uulizaji huo halafu...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
Kama utakwazika kwa namna moja ama nyingine naomba uniwie radhi mana hata mimi sipendi sana kuyaongelea haya mambo ila naomba tu dada zetu mtambue kwamba ukweli unaoumiza ni bora kuliko uongo...
36 Reactions
727 Replies
60K Views
Habari wakuu, nimekuja hapa Mbeya kwenye maonyesho ya OSHA toka juzi nimefanikiwa kuzunguka mitaa tofauti tofauti nilichogundua ni kwamba Mbeya kuna uhaba wa wanawake unazunguka zaidi ya saa nzima...
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Kwa msaada ; Mwaka jana nimetokea kupenda mwanadada kweli kanipenda tulipanga kuoana mwezi wa tatu mwaka huu mwishoni. Nimeandaa Kila kitu kwenye upande wa Mahali; nikawatumia wazazi wangu...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom