BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
Wakuu salama??
Bila poteza muda wacha niende kwa topic direct. Toka hii wiki ianze najikuta nataman madem wa nje, na plan zangu sitak chepuka saiv ila daah!! Huku nakoenda ntachepuka kweli.
Nahamu ya kula kazi ingine mpya hamu kama kiwi ya bia hivi. Jaman nifanyaje sitaki chepuka kabisa coz shem lenu kajitoa sana kwangu. Na mimi kuchepuka najiskia vibaya ila daah hiki kikombe nakiepukaje??
Bila poteza muda wacha niende kwa topic direct. Toka hii wiki ianze najikuta nataman madem wa nje, na plan zangu sitak chepuka saiv ila daah!! Huku nakoenda ntachepuka kweli.
Nahamu ya kula kazi ingine mpya hamu kama kiwi ya bia hivi. Jaman nifanyaje sitaki chepuka kabisa coz shem lenu kajitoa sana kwangu. Na mimi kuchepuka najiskia vibaya ila daah hiki kikombe nakiepukaje??