Kumfikisha kileleni mke (Wife) kila siku HAIWEZEKANI; labda mara moja moja lakini siyo kila siku NEVER

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Kumekuwepo na promotion nyingi sana kunadi dawa za nguvu za kiume;

Ukweli ni kwamba hili tatizo siyo kubwa kama jamii inavyokaririshwa; wanaume tupo fit kitandani kwa zaidi ya asilimia 95% ukiachilia mbali wale machoko.
kwanza ifahamike kwamba ziko siku chache maalum ambazo mwanamke ndizo siku nzuri za kumwingilia tofauti na zile za siku zake!

Tatizo la nguvu za kiume linachangiwa na kulazimisha kufanya mapenzi kila siku, huwezi kumlidhisha mkeo (wife) kila siku haiwezekani labda awe bado MPYA ama katoka safari siku hiyo vinginevyo haiwezekani kwasababu; Lile tendo la kumfikisha mkeo kileleni linajumuisha mambo mengi sana ambayo kwa kila siku mwanaume mtaftaji huwezi kuyatimiza, Ili tendo lifanikiwe kwa 100% nilazima;
  • Takribani saa 3 kabla ya tendo wote muwe na lengo la kujamiiana bdae! (mnaweza anza kuchati mkiwa hata bado kazini kuandaana)
  • Mmoja wenu asiwe kagombana na mtu masaa 8 kabla ya tendo.
  • Muwe mmekula vizuri nusu saa kabla ya tendo
  • Mwanamke asiwe na mæzïVuzi marefu
  • Usiwe unadaiwa kodi ya nyumba
  • Gari unayotumia kila siku iwe nzima
  • usiwe umeandikiwa notification na traffic kwa siku hiyo
  • Tanesco wasikate Umeme dakika 20 kabla ya tendo.
  • mitungi ya gas na chakula kiwepo cha kutosha
  • Kitanda kiwe kimetandikwa vizuri hata kubadilishwa uelekeo.
  • Uwe umemuahidi zawadi au offer yoyote mkeo siku hiyo
  • Usiwe umetizama rangi inayokukera au kusikiliza Chanel usiyoipenda saa moja kabla ya tendo n.k
KUTIMIZA HAYO YOTE KILA SIKU LABDA MJIFUNGIE NDANI KAMA HONEYMOON

Hata ma-bachela huwa wanamzuka wa tendo kwa demu ndani ya wiki moja tu baada ya hapo hutafta kila mbinu ya kumuondoa!!

NDANI YA NDOA KUMFIKISHA KILELENI MWANAMKE KILA SIKU SIYO RAHISI HATA KAMA UNA UUME MKUBWA KAMA KOMBEO
 
Daaaah we una tatizo la nguvu za kiume sio bure.

Kumfikisha mwanamke hakuhitaji hayo mambo yote uwe umeyatimiza. Mambo ya luku, gas, kodi, yanahusiana vp na kumridhisha mwanamke?

Mapenzi ni hisia, km wote mna hisia wakati wa tendo basi mnafika kileleni pasipo shaka yyte hata muwe na stress vp.

Kama hamna hisia hata muwe na raha wala hamna stress zozote hamfikishani vileleni ng'ooo.
 
Daaaah we una tatizo la nguvu za kiume sio bure.

Kumfikisha mwanamke hakuhitaji hayo mambo yote uwe umeyatimiza. Mambo ya luku, gas, kodi, yanahusiana vp na kumridhisha mwanamke?

Mapenzi ni hisia, km wote mna hisia wakati wa tendo basi mnafika kileleni pasipo shaka yyte hata muwe na stress vp.

Kama hamna hisia hata muwe na raha wala hamna stress zozote hamfikishani vileleni ng'ooo.
mwanamke hafiki kileleni kama ana stress kwa taarifa yako kama hujui utamchubua bure
 
Daaaah we una tatizo la nguvu za kiume sio bure.

Kumfikisha mwanamke hakuhitaji hayo mambo yote uwe umeyatimiza. Mambo ya luku, gas, kodi, yanahusiana vp na kumridhisha mwanamke?

Mapenzi ni hisia, km wote mna hisia wakati wa tendo basi mnafika kileleni pasipo shaka yyte hata muwe na stress vp.

Kama hamna hisia hata muwe na raha wala hamna stress zozote hamfikishani vileleni ng'ooo.
Ha ha jamaa kanishangaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah we una tatizo la nguvu za kiume sio bure.

Kumfikisha mwanamke hakuhitaji hayo mambo yote uwe umeyatimiza. Mambo ya luku, gas, kodi, yanahusiana vp na kumridhisha mwanamke?

Mapenzi ni hisia, km wote mna hisia wakati wa tendo basi mnafika kileleni pasipo shaka yyte hata muwe na stress vp.

Kama hamna hisia hata muwe na raha wala hamna stress zozote hamfikishani vileleni ng'ooo.
ukiwa na stress kwa mwanaume sex ni almost impossible this is reality.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli mchungu kwa waliooa wanajua hii kitu huwezi sex kila siku katika level sawa.

Njia bora ni kuwa na siku za kupumzika 1 ama 2 tu bila sex hii itafanya muwe mnafurahia tendo mara nyingi iwezekanavyo pale mnaposex, pia mwanaume nguvu inakuwa imerudi sawasawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisaa mkuu
 
Ni kweli mkuu kwamba kumfikisha kileleni kila siku inaweza ikawa ngumu.
Ila kumfikisha katika zile siku mnazofanya mapenzi inawezekana siku zote mnazofanya mapenzi ukamfikisha.

Ila kama ulivyosema huwezi kufanya mapenzi kila siku aisee.mwanamke akikojozwa vizurii hawezi tamani kila siku kwa sababu unakuwa umekatia hamu yake.

Sio umemkojoza aasubuhi mchana ukataka tena jioni ukataka tena na kesho tena au kila siku wewe kazi yako ni hiyoo,hapo hhuwezi mkuu.

Wanawake uzuri wao katika tendo hawana reflactory period yani unaweza ukawaunganishia hata goli tatu bila kupumzika.ila wanaume wengi kimaumbile lazima wapumzike dk kaadhaa nndo waendelee na goli linginee.
Sasa ubaya wa wanawake wengi sasa si hawana ile reflactory period basi wakishafanya mapenzi wakakojozwa uzurii basi huchukua muda mrefu sana mpaka aje kutamani mwenyewe lile tendoo.

Ila wanaume tuna reflactory periodi kubwa lakini baada ya kumsliza tendo huwa tunakamatwa na hamu mara kwa mara.

Ila inawezekana kabisa mwanamke ukamtia nyege mpaka akakubali yaani unamuanzishia wewee kumchokoza mpaka anakuwa anataka kutiwer.
Na hiyo ndo kitu inaitwa romantic sasa.
Yaani kama unataka ufanye naye kila baada ya siku moja basi hakikisha unakuwa romantic sana na atalainika tuu.uwe unamtia mshawasha kila siku.uwe mchokozi mchokozi mkuu sio wewe siku ambayo UNATAKA KUMUINGILIA NDO JNAIGIZA UROMANTIC utafeli broo.lazima iwe ndo tabia yako hiyo.

Ukiwa mkali mkali,uafande uafande,amri amri chumbani mkuu mwanamke unampotezea stim kabisaaaa,wanawake ni watu wakuenziwa sana japo ni vigumu ila yunaweza tukifanyia kazi.

Wanawake uwe na ubabe 10% na upole 90% yaani usiwe fofofo kabisa,atahisi humpendi,lazima k[na mambo unakaza kidogo,hiyo inaongexa sana mapenzi kwake kuona kwamba anaonewa wivu.

Ila ukiwaza sana kumfikisha kileleni unaweza kupunguza uwezo wako kitandani...

Neno langu sio sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli mchungu kwa waliooa wanajua hii kitu huwezi sex kila siku katika level sawa.

Njia bora ni kuwa na siku za kupumzika 1 ama 2 tu bila sex hii itafanya muwe mnafurahia tendo mara nyingi iwezekanavyo pale mnaposex, pia mwanaume nguvu inakuwa imerudi sawasawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu iko hivyo.

Na ndiyo maana michepuko inapata heshima kubwa kwa sababu haitoi kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi kwa kiasi chake,
Nilikuwa Kabla sijaanza sex na mwanamke. nilikiwa natumia mwezi mzima kumuandaa.

kumuandaa ilikuwa Ina ambatana na mambo haya.

*itakuwa pamoja na kumsoma SAIKOLOJIA yake
*Kutomkwaza kwa lolote lile Ndani ya mwezi mzima
*Kuongea naye kwa upole na kumjali
*kuwa naye karibu na kumtoa hata maeneo tofauti ya Utulivu na ya ucheshi.
*Kusoma naye vitabu,kucheki muvi,kula naye kwa kulishana,kupika wote na kuosha,kufua kila kitu pamoja
*Kumletea zawadi,Nguo na maua+mapambo mbali mbali
*Kucheza pamoja
*Na mengineyo mki Ni Pm nitawaambia...

ilikuwa mwezi mzima nikimuandaa

siku ya show nilikuwa sina papara
nilikuwa na,mfungia sehemu tutashinda humo wiki nzima pasipo kutoka nje Wala kuwasiliana na watu
(it's like Eden).

humo tutashinda tukiwa watupu,na c muda wote tutakuwa tuna sex...haha sometimes tulikuwa tunataniana na ucheshi Mwingi,kucheza na kupigana ki mahaba etc
Hapo kidume nilikuwa Kabla Sija fanya kitu Basi atakuwa kashapizi zaidi ya Mara 1000..
Yule mwanamke alikuwa ana enjoy sanaa..
ilikuwa tunafanya wiki nzima ya show.
baada ya hapo,tunaachana miezi mi 3 au 2 bila kugusana zaidi ya ku, dendeka TU
Lengo ilikuwa Ni ku recover energy ambazo tulipoteza,coz ya mikito ya non stop 24/7


Too sadly Yule mwanamke,Nilipotezana Naye kwa njia ya kutatanisha Hadi Leo hii yapita miaka mwak 1 Sasa.
Nadhani mahali popote alipo atakuwa ana nikumbuka Sana
Now napumzika,Kabla sijarudi kwa mwanamke mwingine Tena

Wanaume wenzangu,wanadhani kufanya mapenzi kila siku au week Ni sifa
hahaha na wakati huo ki,Moja chalii pasipo kumridhisha mwezi wake.

Mapenzi Ni zaidi ya kungonoka, Sex Ni kipande TU katika mapenzi
mwanamke unamridhisha kwanza kwenye matendo na kumuandaa then ukienda naye Chumbani hutopata shida.yani wewe utakuwa una slide TU

nyie acheni,Tena mkiwa mnaandaana unaweza piga show kuanzia SAA 1 asubuhi Hadi SAA 7 usimwage hata kidogo ila yeye akabaki ku,fika juuuuuuu.

Ushauri wangu
Muwe mnatenga wiki maalumu la kungonoka na wenza wenu,na siku zinginezo tafuteni Nguvu Huku mkiwa mnaandaana na kutafuta pesa.

mkifanya kila siku mtasababisha wear and tear.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah we una tatizo la nguvu za kiume sio bure.

Kumfikisha mwanamke hakuhitaji hayo mambo yote uwe umeyatimiza. Mambo ya luku, gas, kodi, yanahusiana vp na kumridhisha mwanamke?

Mapenzi ni hisia, km wote mna hisia wakati wa tendo basi mnafika kileleni pasipo shaka yyte hata muwe na stress vp.

Kama hamna hisia hata muwe na raha wala hamna stress zozote hamfikishani vileleni ng'ooo.
Ungeenda mbali na neon ulilolitumia… HISIA... ungeona uhusiano uliopo kati ya LUKU na kufikishana kileleni… au Ugomvi na kufikishana kileleni….

Anza kwa ku-DEFINE hisia
 
Back
Top Bottom