puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,027
- 2,102
Habari zenu wadau, nilikuwa natamani kumiliki iPhone kitambo...juzi nikakamilisha mpunga...nikaingia shop kariakoo ili nikatulize moyo wangu, lengo langu ni kupata iPhone 6+ mfukoni nilikuwa na Kama 750K....Cha kushangaza nilipofika shop...muuzaji akanitia sound za maana...akiwa anasifia Sana simu za Samsung kuliko iPhone... kiukweli hata mm huwa nazielewa coz hata niliyokuwa natumia b4 Ni Samsung S6 Adge, hivyo akaniambia Kama unataka simu ambayo hautojuta kuinunua nichukue... Samsung Galaxy A8 Duos ...akajaribu kunionesha baadhi ya vitu namna inavyo perfome design Kama nikamuelewa hivi


ukizingatia hata baadhi ya wateja nilio wakuta pale walikuwa wanaisifia. Mzee baba nikachukua mtambo...sasa kufika home simu iko vizuri balaa... baadae mdogo wangu alivyokuja nilivyoona iPhone yake...roho ikaniuma ajabu coz ndio ilikuwa ndoto zangu...simu yake haina muda mrefu... yeye nae kaiyona yangu kaipenda

hivyo anataka tibadilishane. Hapa ndio nawaza na kuwazua...nipo Dailema nimemwambia nitampa jibu kesho yani Leo....isije nikaingia Cha kike, kila muda nakumbuka Yale maneno ya muuzaji... iPhone 6+ agusi mtambo huo


. Hebu nipeni ushauri wataalamu wa hizi mambo



ukizingatia hata baadhi ya wateja nilio wakuta pale walikuwa wanaisifia. Mzee baba nikachukua mtambo...sasa kufika home simu iko vizuri balaa... baadae mdogo wangu alivyokuja nilivyoona iPhone yake...roho ikaniuma ajabu coz ndio ilikuwa ndoto zangu...simu yake haina muda mrefu... yeye nae kaiyona yangu kaipenda

hivyo anataka tibadilishane. Hapa ndio nawaza na kuwazua...nipo Dailema nimemwambia nitampa jibu kesho yani Leo....isije nikaingia Cha kike, kila muda nakumbuka Yale maneno ya muuzaji... iPhone 6+ agusi mtambo huo


. Hebu nipeni ushauri wataalamu wa hizi mambo
