Kila raundi moja mrembo anazimia

Kila raundi moja mrembo anazimia

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
615
Reaction score
792
Jamani naombeni ushauri if mmewahi kupia nanyi hichi kilichonikita mimi kwa mrembo huyu usiku wa kuamkia leo.

Kila tukiingia mzigoni Goal moja mtoto anazimia na after 20mins anazinduka anakunywa maji mengi then kukaendelea then akazima tena amezima mara 3, ila anasema ni kawaida yake sasa naombeni kujua wenzangu na mie mmewahi kupitia kwa haya kama niliyoyaona mimi? Kwani ni kweli anazimia na sio ananiektia la hasha....

Nisaidieni.......
 
Itabidi pawe na jukwaa la upuuzi sasa, hivi huyu jamaa anajua maana ya kuzimia? Tena kwa dakika ishirini? Alafu anaamka unagegeda tena anazimia dakika ishirini kisha anaaamka unagegeda tena , mara tatu kabisaaaa? We punguwani kabisa.
 
Itabidi pawe na jukwaa la upuuzi sasa, hivi huyu jamaa anajua maana ya kuzimia? Tena kwa dakika ishirini? Alafu anaamka unagegeda tena anazimia dakika ishirini kisha anaaamka unagegeda tena , mara tatu kabisaaaa? We punguwani kabisa.
Mmmmmmmmh! Napita
 
Hiyo IPO...huwatokea zaidi mabinti wenye maruhani...hivyo jiandae kuambukizwa maruhani..sasa kama ni yakuleta pesa shukuru na kama ni ya umasikini na mahangaiko basi pambana na hali yako.

Mkuu umetisha[emoji23][emoji23]
 
huwa inatokea ingawa si kwa wanawake wote,lakin sina hakika kama anaweza kuzimia muda wote huo,na wakati mwingine unaweza kuta macho yanageuka na kupoteza fahamu kwa muda na baadaye kushtuka;inawezekana ikawa kama mchango wa mkuu alivyosema ni maruhani,lakini sina hakika.lakini mkishazoeana sana tatizo linaweza isha
 
Mkuu umetisha[emoji23][emoji23]
Unajua alikuja wa kasi sana kujiona ni kidume sana kumbe ni hali ya kawaida kwa baadhi ya wanawake na hata wanaume wenye hao wadudu...sasa ikanibidi nirudi kidogo kny mafaili yangu ya philosophy kuna kipengele cha malaika na mashetani( Angle logy na demonology) nikampa kwa ufupi tu...kuwa alikuwa amemsukuma mlevi...
Endapo demu angeomba pain killers baada ya kazi hapo ningempeleka jamaa mahali akale kitimoto..Ila kwa hili ajiandae tu kuambukizwa hao madudu.
 
Back
Top Bottom