Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hali ya hela haikua nzuri siku hiyo, niilpanga kwenda bank kuangalia malipo ya mshahara. Mimi na mwanangu wa miaka miwili tuliamka asubuhi nilimalizia maziwa kidogo yaliyobaki kwenye kopo kwa...
36 Reactions
40 Replies
4K Views
wanajamvi Kuna kauchunguzi nimefanya nikagungua kuwa wake za watu wanachart na wanaume ambao siyo waume zao kwa maneno magumu magumu kiasi WANAUME zao wangeziona ndoa zote zingesimama Leo na...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Siku moja nikiwa katika sagari zangu za hapa na pale kutoka mkoa mmoja kuelekea mkoa mwengine, nikiwa katika basi la abiria, pembeni nilikaa na dada mmoja ambaye alikuwa na mtoto wa umri kama wa...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Yaani weepeesiii Unavowaona wanaruka ruka hapo ukumbini na kiwanjani ni hivohivo, na ukiwachukulia poa unafungwa tano bila halafu ana braeak kidogo, unaletewa glass ya maji unywe yeye anaenda...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwanamke au Mschana kukutongoza kwa uapande wao ni ngumu sana na ni asilimia chache sana wanaothubutu kufanya hivyo lakini kwa baadhi ya wanawake wanakuonyesha hisia ambazo ni lazima kama ukiwa...
4 Reactions
29 Replies
36K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/31445614 Nimemaliza soo wazee wakazi Nilipofika nikakuta ndugu zake kibao mm upande wangu nilikuwa na mamdogo tu ila wengine wote walikuwa upande...
1 Reactions
3 Replies
922 Views
Mfano umeamua kuoa ukafuata taratibu zote ila mwanamke akakwambia sifanyi tendo la ndoa mpaka siku ya kufunga ndoa ukakubali, baada ya kufunga ndoa kabla ya kulala mke akawa analia maumivu makali...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mfano umeoa umetoka honeymoon mke anakwambia mumewangu unaonaje uvamie benki upore pesa na sisi tuwe matajiri. Utamjibuje
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika miaka yangu kadhaa ya kusoma mafanikio, ningependa wanawake waelewe hili. . Sio uzuri wa mwanamke utakaomfanya mume wake awe muaminifu. In fact, hauwezi kusema mimi ni mzuri bila shaka mume...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
July 12, 2018 by Global Publishers KWA kawaida mtu anapompenda mtu huwa ni vigumu sana kumuacha aende. Hatamani hata siku moja kumpoteza mtu ampendaye. Atafanya kila linalowezekana kuhakikisha...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Ukweli ni kwanza mwanaume mwenye pesa ni mwanaume atakaekupa maisha mazuri na mapenzi na mwanaume anaehesabu coins anakupa maisha ya tabu na mapenzi.Smart women marry rich men
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu habar zenu.. Tukio limetokea kitaa mida ya jioni,Wanaume ktk harakati za kupark vyombo mda wa malengo kwa maboss,Mara kikapita kiumbe cha Mungu(Manzi)eneo tunalo park,design wote tumeelewa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
One day
2 Reactions
7 Replies
2K Views
SUMU YA KUMUUA MUME HII HAPA Binti alifika kwa mama yake kumlalamikia kuhusu ndoa yake. Malalamiko yake yalikuwa kama ifuatavyo: BINTI: Mama, mume wangu amenishinda. Ninataka kumua lakini nakosa...
21 Reactions
50 Replies
6K Views
Hivi Mwanamke anaweza akaamua kumpenda au kuishi na mwanaume ambaye anamzidi kipato hata kama mwanaume huyo hatakuwa mwaminifu kwake kama ndio kwanini. Hivi Mwanaume anaweza akaishi na mwanamke...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ameniambia Yeye Ni Mke Wa Mtu Lakini Na Chati Nae Mpaka Saa Sita Usiku Kila Siku Akitaka Kulala Anasema Nimpigie Au Anapiga Yeye Anacho Niambia Anataka Kusikia Sauti Yangu Tu Na Nikimwambia Nipo...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Kuna vitu ambavyo mwanaume/mke akifanya unajua hapa tayari nimshampata mfano mtu akitoa namba; akikubali kutolewa out; akiwa anaomba lunch/breakfast (no free gift)...anajiongelesha storry za bwana...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Haya maisha haya huyu bi mkubwa alitokea kunielewa yeye mwenyewe na wala sikutumia nguvu kumpata, Namba aliniomba yeye mwenyewe kwa sababu ya derivery ya kiepe kutoka kibandani kwangu pale...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna mjane mmoja mwenye watoto wawili hapo kisiwani Zenj aliweza kukaa na wanaume wawili bila matatizo yoyote kwa zaidi ya miaka minne. Zaidi aliweza hata kuwafahamisha wanaume hao kuwa wanakula...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Nini shida jaman nimpendaye ananizingua balaa, niko serious kumuoa lakin majanga tuu. anayenipenda hata simzimii kabisa.
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…