Habari zenu
Ni kijana wa miaka 26 anamtafuta that one lady,my queen,la'azizi kitulizo cha moyo wangu.baada ya kukaa mda mrefu bila mahusiano yoyote kutokana na maswahibu mbalimbali ya...
Tulisafiri na jirani yangu tukitokea Morogoro, tulifika wote Kibaha lakini baada ya hapo siku muona. Nilifika nyumbani salama, nilipitia kwa Mangi nikikumbuka nyumbani sukari ilibaki kidogo, pale...
*Jamani Raha ya mke ili ikamilike ni pale atapokuletea zawadi kubwa ya pekee ambayo ni mtoto,
*Nikifikiria Miezi 9 ya ujauzito
*Nikikumbuka Tabu alizopitia kipindi hicho
*Kubwa kuliko Siku ya...
Tabia yake ya kukagua kagua simu yangu
Kusikiliza maneno ya watu
Kunilazimisha kupima
Nimekosa mood kabisa hata ya kumgegeda ,nimetokea kumchoka ghafla kutokana na huu utovu wake wa nidhamu...
MKE: Naomba nilipe hela ninayokudai
MUME: Hela ipi mke wangu unayonidai?
MKE: Wiki iliyopita nilitumia hela yangu kumnunulia Sara madaftari, halafu juzi Rama alikuwa anaumwa nikamnunulia dawa...
Mwanaumee kuwa katika mahusiano yamkini na dada Fulani uliyempenda then dada Yule anaanza mikato fulani sio kama kukupeleka peleka kama mbuzi Halafu jamaa zako wa kawaida hawakushauri chochote...
Jana wakati tunapiga piga story na masela nikamkumbuka man fongo na hii ilitokana na story tuliyokua tunaizungumzia ya ushemeji
Sasa member mmoja akanisema man fongo kafungwa miaka 30 kisa kampa...
Habari zenu,
Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji...
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume...
Wakuu naomba kujua kwa mara ya kwanza mdada alipokwambia ni mjamzito nini uliwaza/nini ulifanya
Kwa wanawake mara ya kwanza ulipogundua ni mjamzito nini uliwaza/ulifanyaje
Mimi ni mwanamke, nina miaka 25, nina mpenzi ambaye nimedumu nae kwa muda mrefu mno zaidi ya miaka minne. Tunavumiliana tu.
Kwanza yeye bado hajapata kazi japo mimi nimepata kazi ya kujishikiza...
Kabla hujaanza kumchunga mwanamke, jiulize kipindi yupo kwao aliwezaje kuonana na wewe na bila ya wazazi wake kujua!?
Aliwezaje kutumia muda wa kuonana na wewe na kufanya yenu na aliwezaje...
Jana niligegedana na mwanamke ambaye nilikuwa namfukuzia kwa kitambo kidogo, hatimaye jana akanasa katika nyavu zangu zilizojaa kasumba.
Baada ya kupiga game moja ya kibabe,
Wakati wa kuondoka...
1. Anajiamini ktk utambulisho wake hajataja kazi au vitu alivyo navyo, hajataja ana ufundi gani katika mapenzi n.k mwanaume halisi anajiamini vile utakavyomkuta alivyo kwa wakati wowote. Wamekuja...
Habarini zenu wakuu,hopeful mko vizuri,,Naam nimekua na tabia ya kuwaelewa kinyama ma'manzi ambao ni ma gangstar,wahuni,,Leo On ma way road to Sinoni daraja bee fas ya chuganian kwa chalii angu...
Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.
Kaka angu anataka kuoa mwanamke ambaye ana mimba ya miezi 4 na hiyo mimba ni ya mwanaume mwingine.
Familia baada ya kuchunguza tumegundua kwamba kumbe mwanamke ameachwa na mwanaume aliye mpa...
Natamani kupata mdada umri (18+
Sifa.
Uwe single
Usiwe na HIV
Mwenye malengo
Uwe umemaliza form four +
Rangi yeyote
Urefu wowote
Uwe na pesa au hauna haijalishi
Uwe unapenda kugegedana
Mcheshi...
watu wa ughaibuni waliwahi kusema "travel is a form of learning", na wahenga wetu wa kiswahili wakasema mtembea bure sio sawa na mkaa bure.
napenda sana kusafiri, iwe kikazi au kwa matembezi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.