Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Haya maisha haya huyu bi mkubwa alitokea kunielewa yeye mwenyewe na wala sikutumia nguvu kumpata,
Namba aliniomba yeye mwenyewe kwa sababu ya derivery ya kiepe kutoka kibandani kwangu pale anapokosa muda wa kupika msosi, siku zikaenda mwisho wa siku akafunguka ya moyoni,
Zero bila iyana nikatafuta siku nzuri nikampeleka gest nikamkanya/kumsokotoa/kumchenga/kumdinya kisawa sawa sasa hivi kaniganda kasema anataka anizalie mtoto,
Tatizo ni kwamba ana mtoto umri karibia na wangu nimempita kama miaka 2 hivi alafu ni mwana sana pale kijiweni siku akigundua nimemdinya mama yake mpaka kanizalia mtoto sijui atajisikiaje?
Ndio hofu yangu kubwa hiyo wakuu.
Cc Zero IQ
Namba aliniomba yeye mwenyewe kwa sababu ya derivery ya kiepe kutoka kibandani kwangu pale anapokosa muda wa kupika msosi, siku zikaenda mwisho wa siku akafunguka ya moyoni,
Zero bila iyana nikatafuta siku nzuri nikampeleka gest nikamkanya/kumsokotoa/kumchenga/kumdinya kisawa sawa sasa hivi kaniganda kasema anataka anizalie mtoto,
Tatizo ni kwamba ana mtoto umri karibia na wangu nimempita kama miaka 2 hivi alafu ni mwana sana pale kijiweni siku akigundua nimemdinya mama yake mpaka kanizalia mtoto sijui atajisikiaje?
Ndio hofu yangu kubwa hiyo wakuu.
Cc Zero IQ