Sema ukweli

Sema ukweli

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
Hivi Mwanamke anaweza akaamua kumpenda au kuishi na mwanaume ambaye anamzidi kipato hata kama mwanaume huyo hatakuwa mwaminifu kwake kama ndio kwanini.

Hivi Mwanaume anaweza akaishi na mwanamke anaye mzidi kipato hata kama si mwaminifu kwake kama ndio kwanini.
 
Mwanamke kuishi na mtu aliemzidi kipato jiandae kwa lolote dakika yoyote, pale bustani ya Eden Adam alifukuzwa kisa kala cha mwanamke...usiombe!!! Usiombe mwanamke akuzidi japo sio wote ila wengi wetu ni shida
 
Mwanaume niliyemzidi hela wa nini sasa?ni bora tuwe masikini wote tu nijue moja asee
Imagine unahudumia mwanaume!picha inagoma kabisa kuja

Hizo mambo wanaweza watakatifu labda
 
kumbe mwanaume ni yule usiye mzidi hela sio
Mwanaume niliyemzidi hela wa nini sasa?ni bora tuwe masikini wote tu nijue moja asee

Hizo mambo wanaweza watakatifu labda
[/QUOT
 
Wote wanaume ila nikivaa uhusika wa kuhudimia mwanaume ni ngumu bhana niache unafiki
basi utakuwa humpendi, kumhudumia kitu cha kawaida sana kwa umpenadye kwa dhati
 
Ipo siku moja nitakuja kuwa shuhuda hapa jamvini wallah...
 
basi utakuwa humpendi, kumhudumia kitu cha kawaida sana kwa umpenadye kwa dhati

Afadhali iwe siku moja moja akiwa hana ila kuhudumia kila siku,kila kitu ni ngumu hata kama nampenda vipi lazima nitatibuka kila akiniomba
 
Afadhali iwe siku moja moja akiwa hana ila kuhudumia kila siku,kila kitu ni ngumu hata kama nampenda vipi lazima nitatibuka kila akiniomba
badilika iyo kizamani sana, kaa naye huwezi jua kesho yake itakuwaje
 
badilika iyo kizamani sana, kaa naye huwezi jua kesho yake itakuwaje

Ni kweli siwezi kujua kesho yake ila kuhudumia mwanaume ni suala lililo nje ya uwezo wangu...siwezi kuvumilia kiumbe cha hivyo
 
Ni kweli siwezi kujua kesho yake ila kuhudumia mwanaume ni suala lililo nje ya uwezo wangu...siwezi kuvumilia kiumbe cha hivyo
Ukimhudumia halafu ikatokea siku ya siku ukaachishwa kazi yeye akapata kazi nzuri utafanyaje itabidi uondoke umuache aendelee na maisha yake
 
Back
Top Bottom