Hajanambia [mrejesho]

Hajanambia [mrejesho]

kijazi07

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
1,036
Reaction score
2,238


Nimemaliza soo wazee wakazi


Nilipofika nikakuta ndugu zake kibao mm upande wangu nilikuwa na mamdogo tu ila wengine wote walikuwa upande ule mwingine . basi wakanipa wasaa wakujieleza nikajieleza nilisema ukweli tupu nilitaja mpaka duka nililienda nunua condom. Ikafika wakati wa demu kujielezea akawa bado ananikandamiza mm ngoma ilikuwa ngumu sana aseeh nilihis huyu demu alikuwa na malengo na mm kutokana na kitu nachofanya kwa sasa
Mm ni mwanafunz wa udaktar so na idea na mambo kama hayo nikamuuliza maswali magumu sana iliopelekea baba yake ambae ni daktari nae ashtuke na nikaanza kuongea nae lugha moja yaan kisayans zaid kiukwel mkomboz wangu alikuwa yule baba baada ya kugundua ile mimba ilikuwa na miez mitatu nyuma na mm nilikutana nae mwez mmoja tu uliopita chumba chake kilisachiwa wakakuta picha za ultrasound za muda sana kabla hata mm sijamgusa

Basi wakambana sana mwisho akasema ngoma ilikuwa ya jiran yao ambae ni mjeda na alipo mwambia alimtisha kumuua ndo maana alitafuta mtu wa kusingizia nimeandika kifupi tu ila haikuwa rahis sana

Nipo na malizana na mamdogo kisha nirud zang Dar
 
Nimemaliza soo wazee wakazi

Nilipofika nikakuta ndugu zake kibao mm upande wangu nilikuwa na mamdogo tu ila wengine wote walikuwa upande ule mwingine . basi wakanipa wasaa wakujieleza nikajieleza nilisema ukweli tupu nilitaja mpaka duka nililienda nunua condom. Ikafika wakati wa demu kujielezea akawa bado ananikandamiza mm ngoma ilikuwa ngumu sana aseeh nilihis huyu demu alikuwa na malengo na mm kutokana na kitu nachofanya kwa sasa
Mm ni mwanafunz wa udaktar so na idea na mambo kama hayo nikamuuliza maswali magumu sana iliopelekea baba yake ambae ni daktari nae ashtuke na nikaanza kuongea nae lugha moja yaan kisayans zaid kiukwel mkomboz wangu alikuwa yule baba baada ya kugundua ile mimba ilikuwa na miez mitatu nyuma na mm nilikutana nae mwez mmoja tu uliopita chumba chake kilisachiwa wakakuta picha za ultrasound za muda sana kabla hata mm sijamgusa

Basi wakambana sana mwisho akasema ngoma ilikuwa ya jiran yao ambae ni mjeda na alipo mwambia alimtisha kumuua ndo maana alitafuta mtu wa kusingizia nimeandika kifupi tu ila haikuwa rahis sana

Nipo na malizana na mamdogo kisha nirud zang Dar
Unasemaje embu rudia kuandika upya
 
Nimemaliza soo wazee wakazi

Nilipofika nikakuta ndugu zake kibao mm upande wangu nilikuwa na mamdogo tu ila wengine wote walikuwa upande ule mwingine . basi wakanipa wasaa wakujieleza nikajieleza nilisema ukweli tupu nilitaja mpaka duka nililienda nunua condom. Ikafika wakati wa demu kujielezea akawa bado ananikandamiza mm ngoma ilikuwa ngumu sana aseeh nilihis huyu demu alikuwa na malengo na mm kutokana na kitu nachofanya kwa sasa
Mm ni mwanafunz wa udaktar so na idea na mambo kama hayo nikamuuliza maswali magumu sana iliopelekea baba yake ambae ni daktari nae ashtuke na nikaanza kuongea nae lugha moja yaan kisayans zaid kiukwel mkomboz wangu alikuwa yule baba baada ya kugundua ile mimba ilikuwa na miez mitatu nyuma na mm nilikutana nae mwez mmoja tu uliopita chumba chake kilisachiwa wakakuta picha za ultrasound za muda sana kabla hata mm sijamgusa

Basi wakambana sana mwisho akasema ngoma ilikuwa ya jiran yao ambae ni mjeda na alipo mwambia alimtisha kumuua ndo maana alitafuta mtu wa kusingizia nimeandika kifupi tu ila haikuwa rahis sana

Nipo na malizana na mamdogo kisha nirud zang Dar
Kwa ambao hatukusoma Stori ya kwanza ni ngumu SANA kuelewa ulichoandika. Tupe link ya Stori ya kwanza ili hii tuielewe zaidi nasi tupate kujifunza
 
Picha za ultra sound?

Ina maana alikua ashaanza kuhudhuria kliniki au alipiga tu ultra sound kupata uthibitisho zaidi wa kujua kanasa...!
 
Back
Top Bottom