UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
wanajamvi
Kuna kauchunguzi nimefanya nikagungua kuwa wake za watu wanachart na wanaume ambao siyo waume zao kwa maneno magumu magumu kiasi WANAUME zao wangeziona ndoa zote zingesimama Leo na karibia kila nyumba yenye ndoa ingekuwa na msiba au ndoa nyingi zingekufa kibudu
Mfano nina wake wa watu wanne tunachart whatsp,na messenger hykaMungu ZINATISHA wananitumia had I picha mbovu nabaki nashangaa tu na huwa nawauliza endapo waume zao wakiziona itakuwaje wanasema KILA UKITUMA nafuta hivyo hawezi kuziona
Huwa nawashangaa sana wale wanaume wanaosema hawafuatilii nyendo za wake zao no muhimu sana kufuatilia kwa kiasi flani halo kashalika mwanamke naye yampasa kumfuatilia mumewe kwa kiasi flan ILI ASIJISAHAU SANA
kama unataka kujua hack cm ya mkeo utashangaa utakayokutana nayo
Kuna kauchunguzi nimefanya nikagungua kuwa wake za watu wanachart na wanaume ambao siyo waume zao kwa maneno magumu magumu kiasi WANAUME zao wangeziona ndoa zote zingesimama Leo na karibia kila nyumba yenye ndoa ingekuwa na msiba au ndoa nyingi zingekufa kibudu
Mfano nina wake wa watu wanne tunachart whatsp,na messenger hykaMungu ZINATISHA wananitumia had I picha mbovu nabaki nashangaa tu na huwa nawauliza endapo waume zao wakiziona itakuwaje wanasema KILA UKITUMA nafuta hivyo hawezi kuziona
Huwa nawashangaa sana wale wanaume wanaosema hawafuatilii nyendo za wake zao no muhimu sana kufuatilia kwa kiasi flani halo kashalika mwanamke naye yampasa kumfuatilia mumewe kwa kiasi flan ILI ASIJISAHAU SANA
kama unataka kujua hack cm ya mkeo utashangaa utakayokutana nayo