Wakuu naomba kujua kwa mara ya kwanza mdada alipokwambia ni mjamzito nini uliwaza/nini ulifanya
Kwa wanawake mara ya kwanza ulipogundua ni mjamzito nini uliwaza/ulifanyaje
Mimi ni mwanamke, nina miaka 25, nina mpenzi ambaye nimedumu nae kwa muda mrefu mno zaidi ya miaka minne. Tunavumiliana tu.
Kwanza yeye bado hajapata kazi japo mimi nimepata kazi ya kujishikiza...
Kabla hujaanza kumchunga mwanamke, jiulize kipindi yupo kwao aliwezaje kuonana na wewe na bila ya wazazi wake kujua!?
Aliwezaje kutumia muda wa kuonana na wewe na kufanya yenu na aliwezaje...
Jana niligegedana na mwanamke ambaye nilikuwa namfukuzia kwa kitambo kidogo, hatimaye jana akanasa katika nyavu zangu zilizojaa kasumba.
Baada ya kupiga game moja ya kibabe,
Wakati wa kuondoka...
1. Anajiamini ktk utambulisho wake hajataja kazi au vitu alivyo navyo, hajataja ana ufundi gani katika mapenzi n.k mwanaume halisi anajiamini vile utakavyomkuta alivyo kwa wakati wowote. Wamekuja...
Habarini zenu wakuu,hopeful mko vizuri,,Naam nimekua na tabia ya kuwaelewa kinyama ma'manzi ambao ni ma gangstar,wahuni,,Leo On ma way road to Sinoni daraja bee fas ya chuganian kwa chalii angu...
Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.
Kaka angu anataka kuoa mwanamke ambaye ana mimba ya miezi 4 na hiyo mimba ni ya mwanaume mwingine.
Familia baada ya kuchunguza tumegundua kwamba kumbe mwanamke ameachwa na mwanaume aliye mpa...
Natamani kupata mdada umri (18+
Sifa.
Uwe single
Usiwe na HIV
Mwenye malengo
Uwe umemaliza form four +
Rangi yeyote
Urefu wowote
Uwe na pesa au hauna haijalishi
Uwe unapenda kugegedana
Mcheshi...
watu wa ughaibuni waliwahi kusema "travel is a form of learning", na wahenga wetu wa kiswahili wakasema mtembea bure sio sawa na mkaa bure.
napenda sana kusafiri, iwe kikazi au kwa matembezi ya...
Hivi inakuwaje ukiwa unamtongoza Demu na akiona upo serious sana anaanza kuringa Mara hajibu sms Mara hapokei Simu lakini ukiamua kumpotezea anaanza kujirudi kwa heshima tena na 18 anaachia!
Mbona...
Mwanaume akishapokea mshahara anatakiwa ampe mkewe asilimia ngapi ya mshahara na asidai pesa nyingine hadi mwezi ujao, pesa hizo ni pamoja na pesa za chakula, matumizi yake na matumizi ya watoto
Ni wazi kwamba vijana na mabinti wengi wanatamani kuoa na kuolewa mtawalia. Ni jambo jema lakini fahamuni kuwa unapoteza uhuru wako ukiwemo wa kujamba kwa raha zako.
Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku...
Bila shaka muwazima wa afya!
Maisha yamebadilika, nyakati zimebadilika hela za mchezo hazipo tena kila senti inakazi ya kufanya.
Enyi wadada mlio zoea mizinga jifungeni mikanda mwafwaaa.
Ile...
Usipoangalia Haya mambo ya Ma love yanaweza kukuua, Hawa viumbe wa kike Muda mwingine ni hatari sana.
Unakumbana na yale majibu ya *I dont deserve you* Please give me space, * Wewe huna mbele...
Habari zenu ndugu zangu,na kwa wale waislamu ongeren na ibada ya mfungo wa ramadhani na zaidi nawaombea DUA kwa Mungu awape afya njema ili mmalize mfungo salama.
Jamani ndugu zangu watanzania na...
yNiwakumbushe tu NANDI kasem alidate na ruge miaka 3..je ile ishu na bilinas (ilikua sjui n chupi) kwan ilikua n miaka mi3 nyuma? mh ngoja niendelee kujiuliza maswal yang kimya kimya..