Nilijiskia furaha isiyo na kifani hadi chozi la furaha lilinitoka,nilifurahi sana na sikuamini kama kweli ni mimi naenda kuitwa mama for the first time!!!
But always mungu ni mkuu,na sasa ni mama wa binti wa miaka mitatu.
Samahani nikusahihshe kidogo.....neno Mungu, Mungu alie hai lazima lianze na herufi kubwa,,,,ukianza na herufi ndogo....huyo sio Mungu alie hai.....Nilijiskia furaha isiyo na kifani hadi chozi la furaha lilinitoka,nilifurahi sana na sikuamini kama kweli ni mimi naenda kuitwa mama for the first time!!!
But always mungu ni mkuu,na sasa ni mama wa binti wa miaka mitatu.
Kamwaga ndaniHebu nenda straight to your point mkuu...
Kamwaga ndani
Fafanua mkuu..reaction huwa ni tofauti inategemea kama ni mke , mchepuko wa nje, ndugu wa mke,rafiki wa mke au House Girl?Wakuu naomba kujua kwa mara ya kwanza mdada alipokwambia ni mjamzito nini uliwaza/nini ulifanya
Kwa wanawake mara ya kwanza ulipogundua ni mjamzito nini uliwaza/ulifanyaje
Wewe ulijisikiaje mkuu?Hebu nenda straight to your point mkuu...