Bwana kaduga
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 832
- 1,750
Bila shaka muwazima wa afya!
Maisha yamebadilika, nyakati zimebadilika hela za mchezo hazipo tena kila senti inakazi ya kufanya.
Enyi wadada mlio zoea mizinga jifungeni mikanda mwafwaaa.
Ile ya baby naomba unitumie elfu 30 kwenye m-pesa hizo zamapita, hiyo hela ukiihitaji itabidi uje uifanyie kazi haswaaa.
Itabidi ufue, utandike kitanda, upike na game upafom vizuri.
Maisha ya ujanja ujanja yamepita nasema na mwenye masikio asikie.
Maisha yamebadilika, nyakati zimebadilika hela za mchezo hazipo tena kila senti inakazi ya kufanya.
Enyi wadada mlio zoea mizinga jifungeni mikanda mwafwaaa.
Ile ya baby naomba unitumie elfu 30 kwenye m-pesa hizo zamapita, hiyo hela ukiihitaji itabidi uje uifanyie kazi haswaaa.
Itabidi ufue, utandike kitanda, upike na game upafom vizuri.
Maisha ya ujanja ujanja yamepita nasema na mwenye masikio asikie.