Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Jana wakati tunapiga piga story na masela nikamkumbuka man fongo na hii ilitokana na story tuliyokua tunaizungumzia ya ushemeji
Sasa member mmoja akanisema man fongo kafungwa miaka 30 kisa kampa mimba mwanafunzi wa form 3
Vipi hii taarifa ni kweli au ???manake jamaa sijamsikia karibuni na sijawahi sikia hii taarifa kama jamaa yupo behind bars.
Sasa member mmoja akanisema man fongo kafungwa miaka 30 kisa kampa mimba mwanafunzi wa form 3
Vipi hii taarifa ni kweli au ???manake jamaa sijamsikia karibuni na sijawahi sikia hii taarifa kama jamaa yupo behind bars.