Mke wangu kajifungua, ni zawadi gani itamfaa kama shukurani?

Issuna

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
3,168
7,513
*Jamani Raha ya mke ili ikamilike ni pale atapokuletea zawadi kubwa ya pekee ambayo ni mtoto,
*Nikifikiria Miezi 9 ya ujauzito
*Nikikumbuka Tabu alizopitia kipindi hicho
*Kubwa kuliko Siku ya kujifungua Mateso na Maumivu Aliyokua akiyapata

Hatimae mwisho wa siku kafanikiwa kuniletea ka Malaika kazuriiiii,halafu kubwa zaidi Toto limefanana na MIMI nashukuru Mungu kwa uwumbaji Huu.

Nikirudi ktk OMBI langu hapo Juuu,Ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa Nini cha kumpa huyu mwanamke wangu,maaana kama ni zawadi ndogo ndogo mpk kubwa kubwa zote nimemaliza kumpa..sina uwezo wa Gari,ndege nk anajua hilo.

Uwezo wangu n mdogo tu lkn Naomba kujua n zawadi gani nitakayompa huyu mama Mtoto wangu hata akiiangalia ajue kweli MUME nimepata (zawadi ya uaminifu hiyo kashaichoka) Nahitaji zawadi nyingine hata kama ni ndogo Jaman mtakua mmenisaidia sana sana.

Nilikua nawaza lini atajifungua lkn leo nawaza Ni mshukuruje..maaana natamani hata kama ingekuja mwanaume naweza kunyonyesha bhas nilikua nafkiria nimpe OFF ya kunyonyesha jukumu liwe langu...lkn nikawaza Mtoto akilia usiku nichukue jukumu la kumbadilisha nguo yani kumsaidia mke wangu kumuhudumia mtoto kipindi hiki mtoto mchanga.

Lakini pamoja na yote hayo Moyoni mwangu sina Amani natamani nimfanyie kitu huyu mwanamke ajue tu kua Nimemshukuru na kuthamini Alichokifanya.

Watu wote naombeni msaada wenu kimawazo japo nini chakufanya Aseee sina amani kbs.


Nawasilisha.
 
Nimekupenda kwa kweli upo mkweli mpaka raha! Mimi sijui cha kukuambia ununue but ninachoweza kusema ni uzidishe upendo wa dhati kwa mke wako katika kipindi hiki alichotoka kujifungua maana hapa wanaume wengi ndo huwa wanapata chance ya kuwa na michepuko!!!


Kuwa karibu na mkeo na jitahidi kuwahi kurudi kwako mapema nadhani hiyo itakuwa furaha tosha kwa mke wako!!!
 
*Jamani Raha ya mke ili ikamilike ni pale atapokuletea zawadi kubwa ya pekee ambayo ni mtoto,
*Nikifikiria Miezi 9 ya ujauzito
*Nikikumbuka Tabu alizopitia kipindi hicho
*Kubwa kuliko Siku ya kujifungua Mateso na Maumivu Aliyokua akiyapata

Hatimae mwisho wa siku kafanikiwa kuniletea ka Malaika kazuriiiii,halafu kubwa zaidi Toto limefanana na MIMI nashukuru Mungu kwa uwumbaji Huu.

Nikirudi ktk OMBI langu hapo Juuu,Ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa Nini cha kumpa huyu mwanamke wangu,maaana kama ni zawadi ndogo ndogo mpk kubwa kubwa zote nimemaliza kumpa..sina uwezo wa Gari,ndege nk anajua hilo.

Uwezo wangu n mdogo tu lkn Naomba kujua n zawadi gani nitakayompa huyu mama Mtoto wangu hata akiiangalia ajue kweli MUME nimepata (zawadi ya uaminifu hiyo kashaichoka) Nahitaji zawadi nyingine hata kama ni ndogo Jaman mtakua mmenisaidia sana sana.

Nilikua nawaza lini atajifungua lkn leo nawaza Ni mshukuruje..maaana natamani hata kama ingekuja mwanaume naweza kunyonyesha bhas nilikua nafkiria nimpe OFF ya kunyonyesha jukumu liwe langu...lkn nikawaza Mtoto akilia usiku nichukue jukumu la kumbadilisha nguo yani kumsaidia mke wangu kumuhudumia mtoto kipindi hiki mtoto mchanga.

Lakini pamoja na yote hayo Moyoni mwangu sina Amani natamani nimfanyie kitu huyu mwanamke ajue tu kua Nimemshukuru na kuthamini Alichokifanya.

Watu wote naombeni msaada wenu kimawazo japo nini chakufanya Aseee sina amani kbs.


Nawasilisha.
Such kind of a gentleman be blessed
 
*Jamani Raha ya mke ili ikamilike ni pale atapokuletea zawadi kubwa ya pekee ambayo ni mtoto,
*Nikifikiria Miezi 9 ya ujauzito
*Nikikumbuka Tabu alizopitia kipindi hicho
*Kubwa kuliko Siku ya kujifungua Mateso na Maumivu Aliyokua akiyapata

Hatimae mwisho wa siku kafanikiwa kuniletea ka Malaika kazuriiiii,halafu kubwa zaidi Toto limefanana na MIMI nashukuru Mungu kwa uwumbaji Huu.

Nikirudi ktk OMBI langu hapo Juuu,Ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa Nini cha kumpa huyu mwanamke wangu,maaana kama ni zawadi ndogo ndogo mpk kubwa kubwa zote nimemaliza kumpa..sina uwezo wa Gari,ndege nk anajua hilo.

Uwezo wangu n mdogo tu lkn Naomba kujua n zawadi gani nitakayompa huyu mama Mtoto wangu hata akiiangalia ajue kweli MUME nimepata (zawadi ya uaminifu hiyo kashaichoka) Nahitaji zawadi nyingine hata kama ni ndogo Jaman mtakua mmenisaidia sana sana.

Nilikua nawaza lini atajifungua lkn leo nawaza Ni mshukuruje..maaana natamani hata kama ingekuja mwanaume naweza kunyonyesha bhas nilikua nafkiria nimpe OFF ya kunyonyesha jukumu liwe langu...lkn nikawaza Mtoto akilia usiku nichukue jukumu la kumbadilisha nguo yani kumsaidia mke wangu kumuhudumia mtoto kipindi hiki mtoto mchanga.

Lakini pamoja na yote hayo Moyoni mwangu sina Amani natamani nimfanyie kitu huyu mwanamke ajue tu kua Nimemshukuru na kuthamini Alichokifanya.

Watu wote naombeni msaada wenu kimawazo japo nini chakufanya Aseee sina amani kbs.


Nawasilisha.
mpelekee tu upendo, hata upeleke zawadi kubwa namna gani, haitalingana na kimbembe alichokipata wakati wa kujifungua, mimi sio mwanamke, mke wangu kanizaliwa watoto wengi, lakini nimekuja kuamini kuwa zawadi pekee nitakayokuwa nikimpa siku zote ni upendo wa hali ya juu, na kumfanya aelewe kuwa ninathamni kubeba mimba miezi yote hiyo na kunitunzia mtoto. msaidie kazi, timetable yake ya chakula iwe kichwani mwako viwepo vyakula vya kutosha na kama mamamkwe hayupo, mlishe, hakikisha amekula ndo wewe ule, mwongeleshe maneno mazuri ukijua kuwa akili yake haitakuwa sawa hadi mwaka mzima, mwulize yeye anataka nini afu mfanyie kile anachokitaka, mnunulie kile anachokitaka yeye......onyesha care ya hali ya juu ambayo haukuwa unaionyesha kabla....

caution! usipofanya hayo, hawa viumbe wanakuwaga na inferiority complex, wakiona hapo karibu nao sana wanajua pengine umepata mchepuko huko unakuhifadhi kwasababu umeona yeye ana mimba au amejifungua hivyo atakaa kitambo bila kwichikwichi.....fanya mambo yatakayofuta kabisa nadharia hiyo. rudi home mapenda kaa naye, ongea naye ili akili yake iwe vizuri.

Biologically, wanawake wote wakijifungua huwa vichaa wa asilimia fulani hadi sheria zimeweka ukomo wa mwaka mmoja. labda kwasababu ya mchanganyiko wa hormon, mawazo ya kupitisha mtoto kwenye tundu dogo (stress za mimba) etc, zinawafanya akili isiwe timamu. hivyo, ukimpooza na kumfurahisha asiwe na mawazo mengine mapya, atapona haraka, stress za mimba zitaondoka mapema na akili yake itakuwa fresh. icho ndicho kitu atakachokushukuru sana ukifanya. nilikuwa najiulizaga zamani, kwanini wakawake wakitoka kujifungua unaona hadi sura zimewashuka? sura imeharibika....kumbe ni stress za maumivu, stress za kwamba hana la kufanya ila kukutana na maumivu mbele yake, sometimes matusi ya manesi etc, unakuta hadi sura inaonyesha mgonjwa au imemshuka hadi alishe aje akae fresh ndo unamwona wa kawaida.
 
Mpende kuliko ulivyo kuwa mwanzo....Mpe moyo kwenye kila atendalo na msapoti pia. Rudia kauli ya kumuambia unampenda kila mara unapo pata kuona tabasamu lake.

Mwisho timiza majukumu yako kama baba wa familia....mpende mwanao
 
Back
Top Bottom