1.mwanachuo
2.mfanyakazi wa oficin
3.single mother
4.teacher
5.mlevi
6.Beki 3
7.Baamedi
8.Muimba kwaya
9.Mwanafunzi
10. Police/mwanajeshi/traffic
11.kondakta
12. Hana kazi
Kama upo unamiliki...
Kwakuwa jf most of us tunatumia ID fake ila nimewaza nikaona kwanini kila mke anayeolewa na mwanaume amdanganye kuwa amedate na wanaume wawili au mmoja tu wakati si kweli kisa hana bikra!
Hivyo...
Mshua alinichana usipooa mwanamke mwenye degree kuendelea usije kuniambia shida yoyote sasa maneno yake nimeanza kuyaelewa anamaanisha Nini? Nilijifanya kichwa ngumu sasa naanza kufanyia kazi...
Hivi inakuwaje mtu anamuacha mpenzi wake Chumbani halafu anaenda kupiga Chabo?!
Hivi kuna raha gani ya kwenda kuchungulia watu wakifanya mapenzi ndio uamshe hisia zako?!
Unamuacha Mtoto mzuri...
Weekend ndio hiyo imeanza naona watumishi wamekaangwa magu kaondoka na funguo za hazina kulipa mshahara mpaka ageuke,
Wale watafutaji wenzangu uko wapi weekend hii na unakula bata na nani...
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari.( Hana utoto utoto)
2. Atalea vizuri watoto mtakaoza kwa sababu ameshalea Mtoto wa kwanza kwa hiyo ana uzoefu.
3. Anajua thamani thamani ya kupendwa...
Binafsi siwezi kurudiana na ex wangu sababu ni udhaifu wa kiwango cha lami.Kuna watu unakuta waliachana na wapenzi wao kwa zaidi ya mwaka mmoja au miwili lakini mwishowe unakuja kusikia kwamba...
Hii mitandao ya kijamii imerahisisha maisha sana, yani unakutana na watu wengi ambao mkielewana mnakuwa jamaa wa karibu kabisa.
Sasa kuna wale ambao tumekutana na Wapenzi wetu mitandaoni, huku...
Habari wanajamii,
Mama yangu hataki nifanye kazi anataka niolewe, nimepata kazi Arusha nimemuaga mama kwamba natakiwa kwenda kuripoti akakataa nikamuuliza
kwanini unakataa akaniambia anataka...
Wewe unatongozaje, unahakikishaje hukosi mpenzi muda wote?.
Kutongoza hakuna formula, ila mimi kujihakikishia nina stock ya kutosha wa warembo natumia njia zifiatazo kwa uchache.
1. Old...
Kuna demu nilimkataa kwa ishara bila kumwambia ninamueshimu ni rafiki yangu alinipa ushauri sana mpaka washikaji wanapambana awe mpenzi wangu naona ananijali kuliko mpenzi wangu. Bado anapambana...
Habari Wadau nipo Morogoro kikazi kwa Siku 14 nimefanikiwa kupata mtoto Mzuri hapa, Haonyeshi wasi wasi yoyote yupo tayar kukaa lodge na mimi kwa kipindi chote cha wiki mbili
Lakini mashariti...
Hapa ni kwa jinsia zote. Unakuta uko na mpenzi, mke au mume hakujali sana wala hakuonyeshi mapenzi yoyote ya maana lakini akisikia unanyemelea mtu au unanyemelewa na mtu anakua mkali zaidi ya wale...
Kama una mpango wa kuoa, usichelewe sana. Usiwaze sana harusi, waza ndoa. Kama una kipato kidogo, fanya hima uoe. Wenzetu hawa huja na riziki nyingi. Utashangaa milango ya kiuchumi itakavyoanza...
Nimeonja pendo lako nikajua u mwemaaa,nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe!
Na upole wako Bwana,na huruma yako wewe,umenitendea wema usiopimika,Nitakushukuru na kukutukuza wewe.
Kina...
Habari wandugu kwa ujumla? Nadhani kuna wengine wana maumivu na wengine wanafurahia ndoa yao.
Kwanza kabisa natoa shukurani kwa Mshana Jr kwa uzi wako mkuu huu Ule msimu umeanza tena nimeupenda...
kila siku binadamu tunaishi kwa mipango, malengo na matamanio, shauku na Maono juu ya maisha yetu..
Hebu leo toa ya moyoni
Kwa kuanza na maneno haya "Ee Mungu......
Laiti ninge...