Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 362
Kuna demu nilimkataa kwa ishara bila kumwambia ninamueshimu ni rafiki yangu alinipa ushauri sana mpaka washikaji wanapambana awe mpenzi wangu naona ananijali kuliko mpenzi wangu. Bado anapambana anipate Niko dilemma nampenda demu wangu ila kama haamini wanaume maana alishaumizwa ikiwemo Mimi kwenye mapenzi. Nashindwa nifanyaje na huu ukubwa. Ninashida na mwanamke atayenipa mapenzi wakati najipanga kimaisha. Au niachane na habari nao wote nipambane na maisha nitafute tena baadae nijue moja tu nishachanganyikiwa. Ushauri wenu wakuu