Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Kila mtu aliletwa duniani kwa kusudio maalumu,je kusudio lako umelitekeleza au bado?Au na wewe haujui kusudio lako kama mimi,tunaishi tukitafuta,tunakula na kulea familia na baadaye kungojea siku ya mwisho?